Kuuliza si ujinga ''eti walopo ndani ya ndoa, nguo za ndani kila mtu hufua zake au kuna kufuliana?"
NATAKA KUJUA ILI NIKIOA ISIWE SHIDA
natamani nipate mwanaume anayesahau hela kwenye suruali yaani nitamfulia kila kitu aisee
natamani nipate mwanaume anayesahau hela kwenye suruali yaani nitamfulia kila kitu aisee
Swali lako nilitaka kulileta hapa kama malalamiko ya mama mmoja tukiwa kwenye maongezi ila kwa vile umeuliza ngoja niweke hii Query kutoka kwa huyu mwanamama
Ni mama wa watoto wawili mapacha kwa sasa wana miezi tisa,,ni mfanyakazi na anaondoka kwake saa moja kuelekea kazini na kurudi saa 11:30 jioni..
Asubuhi lazima aamke saa kumi na moja kuacha ameweka kila kitu sawa kwa ajili ya watoto na famiy
..Mmewe kwa sasa yupo tu nyumbani lakini akishinda home anashinda kwenye matembezi ,TV,na magazeti..
Kinachomshangaza mama huyu ni kuwa mmewe akiamka kitandani mama watoto anakuwa kishaondoka kwenda kazini akirudi kitanda hakijatandikwa inabidi aanze kazi ya kurekebisha kitanda na kuangalia kama watoto wako ok ,wamekula ama kuna shida ya yoyote na kushughulikia mambo mengine
mmewe hata Boxer anashindwa kufua utamsikia anauliza hivi mama Fulani naona nguo zangu za ndani zote chafu... inabidi mama wa watu aanze kufua.achilia mbali nguo zake za kuvaa
Pia matumizi ya ndani mama anajitahidi kwa 50% to assist
Je hii ni haki wanaume ? huyu mama kila akitaka kumwambia mmewe anashindwa
Je kwenye ndo hivyo kumtumikia mme kuanzia nyumba ,uvuaji ,mapishi na kila kitu yeye anatakiwa kula tu ,kuoga ,kulala na kutoa matumizi?
mhhh! jamani siyo lazima kuanzisha uzi unaweza kuwa mchangiaji tu kama mimi.
chupi yako,kuvaa uvae wewe,kuchafua uchafue wewe, kufua afue mwingine hayo ni majanga!!!!
Hakuna sheria ila huwa tunafanya kwa upendo tu.
mhhh! jamani siyo lazima kuanzisha uzi unaweza kuwa mchangiaji tu kama mimi.
chupi yako,kuvaa uvae wewe,kuchafua uchafue wewe, kufua afue mwingine hayo ni majanga!!!!
Hakuna sheria ila huwa tunafanya kwa upendo tu.
Swali lako nilitaka kulileta hapa kama malalamiko ya mama mmoja tukiwa kwenye maongezi ila kwa vile umeuliza ngoja niweke hii Query kutoka kwa huyu mwanamama
Ni mama wa watoto wawili mapacha kwa sasa wana miezi tisa,,ni mfanyakazi na anaondoka kwake saa moja kuelekea kazini na kurudi saa 11:30 jioni..
Asubuhi lazima aamke saa kumi na moja kuacha ameweka kila kitu sawa kwa ajili ya watoto na famiy
..Mmewe kwa sasa yupo tu nyumbani lakini akishinda home anashinda kwenye matembezi ,TV,na magazeti..
Kinachomshangaza mama huyu ni kuwa mmewe akiamka kitandani mama watoto anakuwa kishaondoka kwenda kazini akirudi kitanda hakijatandikwa inabidi aanze kazi ya kurekebisha kitanda na kuangalia kama watoto wako ok ,wamekula ama kuna shida ya yoyote na kushughulikia mambo mengine
mmewe hata Boxer anashindwa kufua utamsikia anauliza hivi mama Fulani naona nguo zangu za ndani zote chafu... inabidi mama wa watu aanze kufua.achilia mbali nguo zake za kuvaa
Pia matumizi ya ndani mama anajitahidi kwa 50% to assist
Je hii ni haki wanaume ? huyu mama kila akitaka kumwambia mmewe anashindwa
Je kwenye ndo hivyo kumtumikia mme kuanzia nyumba ,uvuaji ,mapishi na kila kitu yeye anatakiwa kula tu ,kuoga ,kulala na kutoa matumizi?
Swali lako nilitaka kulileta hapa kama malalamiko ya mama mmoja tukiwa kwenye maongezi ila kwa vile umeuliza ngoja niweke hii Query kutoka kwa huyu mwanamama
Ni mama wa watoto wawili mapacha kwa sasa wana miezi tisa,,ni mfanyakazi na anaondoka kwake saa moja kuelekea kazini na kurudi saa 11:30 jioni..
Asubuhi lazima aamke saa kumi na moja kuacha ameweka kila kitu sawa kwa ajili ya watoto na famiy
..Mmewe kwa sasa yupo tu nyumbani lakini akishinda home anashinda kwenye matembezi ,TV,na magazeti..
Kinachomshangaza mama huyu ni kuwa mmewe akiamka kitandani mama watoto anakuwa kishaondoka kwenda kazini akirudi kitanda hakijatandikwa inabidi aanze kazi ya kurekebisha kitanda na kuangalia kama watoto wako ok ,wamekula ama kuna shida ya yoyote na kushughulikia mambo mengine
mmewe hata Boxer anashindwa kufua utamsikia anauliza hivi mama Fulani naona nguo zangu za ndani zote chafu... inabidi mama wa watu aanze kufua.achilia mbali nguo zake za kuvaa
Pia matumizi ya ndani mama anajitahidi kwa 50% to assist
Je hii ni haki wanaume ? huyu mama kila akitaka kumwambia mmewe anashindwa
Je kwenye ndo hivyo kumtumikia mme kuanzia nyumba ,uvuaji ,mapishi na kila kitu yeye anatakiwa kula tu ,kuoga ,kulala na kutoa matumizi?