Mliopo kwenye ndoa !!

Mliopo kwenye ndoa !!

Kwangu mimi maisha Maxuri sana,,Ni mwaka 6 sasa,,nijiona mwanaume Niliye kamili coz ninamke na Mtoto mmoja,Mke wangu mzuri sana hasa Maumbilee yake ,,yanahamasisha kila Siku, Kitu kinachosababisha nikose hamu ni Pesa tu,,nikiwa sina but kukaa na wife sichoki hata yeye hachoki maana ndoa yetu IPO freee sana ,Nikiwa single nitakosa heshima yangu milele kwa ndugu, na kwa mtoto wangu mpendwa ,,so . Mnaokata tamaaa kateni but maisha ya ndoa ni mazuri sana,Tatizo kwa Mabinti wengi Wanapenda kwanza Pesa, vingine badae na ndio sababu ya kuchokana ,,
 
Kwangu mimi maisha Maxuri sana,,Ni mwaka 6 sasa,,nijiona mwanaume Niliye kamili coz ninamke na Mtoto mmoja,Mke wangu mzuri sana hasa Maumbilee yake ,,yanahamasisha kila Siku, Kitu kinachosababisha nikose hamu ni Pesa tu,,nikiwa sina but kukaa na wife sichoki hata yeye hachoki maana ndoa yetu IPO freee sana ,Nikiwa single nitakosa heshima yangu milele kwa ndugu, na kwa mtoto wangu mpendwa ,,so . Mnaokata tamaaa kateni but maisha ya ndoa ni mazuri sana,Tatizo kwa Mabinti wengi Wanapenda kwanza Pesa, vingine badae na ndio sababu ya kuchokana ,,
Mi naamin unaweza ishi na mwanaume ana uwezo wa kawaida tu na akaja akapata pesa,huwezi taka uishi na tajiri tu weeee
 
Kwa hiyo ndoani ni ndoanoo
Wala usiogope..marry ur best friend u will enjoy. Kutofautiana kupo but mnarejea km kawaida soon..cz ht mkigombana mkanunuana utafeel ur missing something na unashangaa mtaongea tu....yn hizo picha za hao kuku kwangu naona tofauti..sasa hivi hips na tako limezidi mwenzio....
Usikurupuke tu kuolewa...au usiolewe sababu eti sijui una mimba..UTAJUTA lol..
halafu katika ndoa MUNGU lazma umpe nafasi kubwa...sali sali sali..
 
Wala usiogope..marry ur best friend u will enjoy. Kutofautiana kupo but mnarejea km kawaida soon..cz ht mkigombana mkanunuana utafeel ur missing something na unashangaa mtaongea tu....yn hizo picha za hao kuku kwangu naona tofauti..sasa hivi hips na tako limezidi mwenzio....
Usikurupuke tu kuolewa...au usiolewe sababu eti sijui una mimba..UTAJUTA lol..
halafu katika ndoa MUNGU lazma umpe nafasi kubwa...sali sali sali..
Asantee shoga angu
 
Wala usiogope..marry ur best friend u will enjoy. Kutofautiana kupo but mnarejea km kawaida soon..cz ht mkigombana mkanunuana utafeel ur missing something na unashangaa mtaongea tu....yn hizo picha za hao kuku kwangu naona tofauti..sasa hivi hips na tako limezidi mwenzio....
Usikurupuke tu kuolewa...au usiolewe sababu eti sijui una mimba..UTAJUTA lol..
halafu katika ndoa MUNGU lazma umpe nafasi kubwa...sali sali sali..
Nimependa hapo

"Marry u'r best friend"
 
Kulala kitanda kimoja ni jambo jema sana, bora kiwe 8*8 kuliko tofauti..., inarahisisha sana ku solve ugomvi, kuombana msamaha inakuwa rahisi sana.....,

kama mtu kakununia na analala chumbani kwake... kwenda huko inabidi ujipange sana, ila kama yupo karibu aaah rahisi sanaaaaa.... kwanza utakuwa unamjua vzr wapi umshike atulie halafu unakuwa kama unanongoneza hivi... akiruka unamtuliza unaendelea mpaka ... baada ya hapo kila mtu mwepesiiiiii... ugomvi unakuwa historiaaa
 
Hey mambo;!!
Hivi mnakumbana na kero zipi kwenye ndoa?
Je unapenda kulala kitanda kimoja kila siku na mmeo?

Kwanini kusiwe na vitanda viwili chumbani ili kuna muda au siku nyingine kila mtu alale mwenyewe?
Mnawezaje kuishi wote kwa muda mrefu maana kuna muda unatakiwa uwe na marafiki zako
ndugu wa mume /mke unakabiliana nao vipi ?

Mi naona kama ndoa ni ngumu hiviii halaf unakuwa haupo huru
Hebu tupeni mawili matatu ili nasi tushawishike japo tunuse ndoa maana naona kuishi mwenyewe ni raha unajiamulia unavyotaka au sio
umri umri umri?
 
Hapo chachaaaa,,,kuna ile kumkifu mtu unataka mpeane muda hivii ,,yaan mi nawaza sana sijui kama ntaweza
Mimi wife hua nampa likizo, kama siku 60 hivi kila mwaka... Anaenda kwetu mwaka huu, mwaka mwingine kwao, akirudi kawa mpya, na mimi muda huo nakua nina hamu nae kweli kweli
 
Yani swala kubwa ni kuamua kutoka moyoni! Ndoa unaitakaka na nini unataka kwenye ndoa yako!

Jiwekee malengo,

Simamia malengo yako no matter what unaangalia nini unataka mengine yapo tu huwezi yaepuka!

Ila ukijipanga vzuri ndoa ni sehemu ambayo kila mtu anaiotaaa yani ni tamuje!!!!
 
Mimi wife hua nampa likizo, kama siku 60 hivi kila mwaka... Anaenda kwetu mwaka huu, mwaka mwingine kwao, akirudi kawa mpya, na mimi muda huo nakua nina hamu nae kweli kweli
Watoto unabaki nao au wako boarding!
 
Hey mambo;!!
Hivi mnakumbana na kero zipi kwenye ndoa?
Je unapenda kulala kitanda kimoja kila siku na mmeo?

Kwanini kusiwe na vitanda viwili chumbani ili kuna muda au siku nyingine kila mtu alale mwenyewe?
Mnawezaje kuishi wote kwa muda mrefu maana kuna muda unatakiwa uwe na marafiki zako
ndugu wa mume /mke unakabiliana nao vipi ?

Mi naona kama ndoa ni ngumu hiviii halaf unakuwa haupo huru
Hebu tupeni mawili matatu ili nasi tushawishike japo tunuse ndoa maana naona kuishi mwenyewe ni raha unajiamulia unavyotaka au sio
Chi zi wewe
 
Mimi wife hua nampa likizo, kama siku 60 hivi kila mwaka... Anaenda kwetu mwaka huu, mwaka mwingine kwao, akirudi kawa mpya, na mimi muda huo nakua nina hamu nae kweli kweli
Hizo siku unaweza vumilia
 
Kama unapenda hivyo, basi hamna haja ya ndoa... Maana utaratibu huo unapatikana kwenye u-boyfriend na u-girlfriend... So, u dont have to... Enjoy tu hayahaya mapenzi ya kuchorana
 
Back
Top Bottom