Mliopo kwenye ndoa !!

Mliopo kwenye ndoa !!

Acheni woga. Inaonekana wengi humu wanapenda zinaa so hawaoni umuhimu Wa kuoana.
But ndoa ndio mchezo mzima. Wala ya halali Mungu aliyo ruhusu.
Alafu mkishindwa vumiliana ujue wewe unaudhaifu. Aliye kamili ni Mungu muumba si binadamu mwenzio, sasa kwanini akushinde.
Lengo
Tafuta kwa nini unaoa au unaolewa.?

Kugombana kupatana ni moja ya majaribu so jitahidi uyashinde.

Mfano.
Mko kwenye ndoa miaka 7 make anakwambia umuache eti kakuchoka. Unatrace unakuta hakupendi, kuna mwingine anampenda na unamjua. Wewe unampenda mkeo. Je utafanya nini?
Unamuacha haraka sanaaaa hafu unaoa mwingine
 
Hey mambo;!!
Hivi mnakumbana na kero zipi kwenye ndoa?
Je unapenda kulala kitanda kimoja kila siku na mmeo?

Kwanini kusiwe na vitanda viwili chumbani ili kuna muda au siku nyingine kila mtu alale mwenyewe?
Mnawezaje kuishi wote kwa muda mrefu maana kuna muda unatakiwa uwe na marafiki zako
ndugu wa mume /mke unakabiliana nao vipi ?

Mi naona kama ndoa ni ngumu hiviii halaf unakuwa haupo huru
Hebu tupeni mawili matatu ili nasi tushawishike japo tunuse ndoa maana naona kuishi mwenyewe ni raha unajiamulia unavyotaka au sio
Kwa mtazamo huu, wewe ni mtalaka mtarajiwa.
 
Jamaniiii matola wetu jamaniii hata kutualika hakuna,ujue matola tumetoka mbalio sieee
Nimeingia Mwanza punde, karibu Diamond nitakula hapo msosi wa usiku.
Jamaniiii matola wetu jamaniii hata kutualika hakuna,ujue matola tumetoka mbalio sieee
Nimeingia Mwanza punde, karibu Diamond nitakula hapo msosi wa usiku.
 
Nimeingia Mwanza punde, karibu Diamond nitakula hapo msosi wa usiku.

Nimeingia Mwanza punde, karibu Diamond nitakula hapo msosi wa usiku.
Ooo utakuwepo mpaka lini ,mi nipo kahama mara moja ila kesho kutwa ntakua Mwanza,upo na nani
 
Back
Top Bottom