zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,037
- 3,604
uko nikunyimana.wakati wakufunga ndoa mnaambiwa tayari mmekua mwili mmoja kwa nn muanze kujitenga tenga.na papuchi ndo apo chanzo cha kumpa mumeo kwa nadramimi nadhani kama ikitokea nikaolewa nitakuwa na chumba changu na huyo babe cha kwake kwanza vitu vitakuwa vingi humo chumbani .saa ingine mtu unaitaji space eti !