Mliopo kwenye ndoa !!

Mliopo kwenye ndoa !!

Ooo utakuwepo mpaka lini ,mi nipo kahama mara moja ila kesho kutwa ntakua Mwanza,upo na nani
Jumatano first flight, unajuwa sisi wachumi hizi flight za mapema tunapata kapunguzo humo.

By the way hapa Diamond tumekosa parking tumekuja kula Villa park.
 
Jumatano first flight, unajuwa sisi wachumi hizi flight za mapema tunapata kapunguzo humo.

By the way hapa Diamond tumekosa parking tumekuja kula Villa park.
Nikija jumanne ntakuchekiii
Tule samakii na vichwa vyakeeee
 
Kitanda ni hikohiko kimoja kinatosha, mkitofautiana kila mtu shuka lake anaelekea upande wake mzungu wa 4 au mmoja analala juu ya kitanda mwingine chini/ kwenye kochi ili watoto au ndugu wasijue ugomvi wenu wa siri.
 
They are the best man.

Na uzuri ukimlea vizuri anakuwa karibu na wewe na mnakuwa ma bff....raha sana aisee.
Napenda sana ila sijabahatika bado, cha ajabu kibailojia wanasema ni rahisi kupata mtoto wa kike kuliko wa kiume ila kwangu ni tofauti zinatoka njemba tu, wacha nibadili style sasa.
 
They are the best man.

Na uzuri ukimlea vizuri anakuwa karibu na wewe na mnakuwa ma bff....raha sana aisee.
Napenda sana ila sijabahatika bado, cha ajabu kibailojia wanasema ni rahisi kupata mtoto wa kike kuliko wa kiume ila kwangu ni tofauti zinatoka njemba tu, wacha nibadili style sasa.
 
Napenda sana ila sijabahatika bado, cha ajabu kibailojia wanasema ni rahisi kupata mtoto wa kike kuliko wa kiume ila kwangu ni tofauti zinatoka njemba tu, wacha nibadili style sasa.
Kama uchumi unaruhusu siku hizi unaweza kuchagua jinsia ya mtoto.....
 
Napenda sana ila sijabahatika bado, cha ajabu kibailojia wanasema ni rahisi kupata mtoto wa kike kuliko wa kiume ila kwangu ni tofauti zinatoka njemba tu, wacha nibadili style sasa.
Badili basi style pigia hata sebuleni,jikoni,chooni hahaha
 
Back
Top Bottom