Kuwa single ni Sawa ila itakuwa single daima? huwa mnafikiri khs uzee? huwa unafikiri kuhusu kuumwa? na je vp khs familia?unachokichuma Sasa Ni Nani atakuja kusimamia pindi unapoumwa,au unapozeeka? Pia tuache kujipa moyo japo huenda wengine tuliachwa kwa ujinga wetu....ndoa ndio maisha na changamoto zilizomo Ni kawaida tu,huwezi kuishi ukiwa pekee hata mwili wako unakataa.Hzo picha zisikudanganye Mkuu,Hzo Ni ideas za walioachwa ktk ndoa na huo Ndo mwisho wa akili zao.Picha Hzo Ni mfano mfu na kama wazazi wako wangeziona na kuzingatia picha Hzo sidhani kama Leo ungekuwepo.