Ndoa mwanzonii unajiuliza Kwanini ulichelewa kuoa,Lakini Siku zinavyo zidi kwendaa.Vitimbwi ndo vinaanza .
Ndo kale ka msemo "Ndoa ni uvumilivu"kana anza kufanya kazi.
Kadiri Siku zinavyo zidi kusogea kale ka msemo ka" Ndoa ni geraza la kujitakia" ndo una anza kukaelewa.
Badaee mshapata watoto una anza kusema "Watoto tu ndo wanafanya niwe kwenye ndoa" mbali na hapo,ninge tembea.
Baadae tena una anza kujiuliza" Hivi Kwanini nilioa? Una laod,una kosa sababu then unaendelea kulisongesha life.
Eti Wewe Kwanini unataka kuoa?



mkuu unaniogopesha hadi nawaza kuachana hilo wazo la kuoaHa ha haaaa!Na haya ni machache tu. La sivyo ungejaza page nzima
![]()
Umenichekesha aiseee hapo kwenye nguo kufuliwaNimekosa uhuru kabisa,kutumia simu tu ni mtihani,mara aniongeleshe wakati niko nasoma nyuzi za watu humu mara anilalie nishindwe kutumia simu
Natamani kupata mwanya wa kula mbususu mpya zinazojileta nakosa
Suruali zangu za kadeti zinapauka sana kwasababu ya kufuliwa sana na mashuka pia yanafuliwa mpaka yanachakaa ndani ya muda mfupi
Kiukwel siifurahii ndoa,hata hivyo toka zamani nilikuwa sipendi ila niligandwa nikajikuta nimekamatwa kizembe
Hapo ndo mnapo kosea hakuna aliyapatia kuoa mpaka unaingia kaburini kuna watu wamedumu miaka 20 wengine mpaka 30 lakini wakaachana kwa maumivu ambayo hawawezi kuyasahau mpaka wanaingia kaburini na walikuwa wanapendana,Imeisha hiyo, tuliojaliwa na MUNGU kupata majiko mema ngoja tuendelee kutembea vifua mbele tukifurahia uwepo wa amani, upendo na furaha ya ndoa![]()
Hakuna namna mkuu mi nimeshakubaliana na matokeo.Wewe kama mimi tu..ebu tushauriane katika hayo.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Jikaze mkuu i can feel your painMwaka wa kwanza ni bata full mabusu na kupandishiana miguu! Mkipata watoto wawili au watatu sekeseke linaanza....niishie hapo.
Hongera mkuu kama ni kweliImeisha hiyo, tuliojaliwa na MUNGU kupata majiko mema ngoja tuendelee kutembea vifua mbele tukifurahia uwepo wa amani, upendo na furaha ya ndoa![]()
Asante sana Chifu.Hongera mkuu kama ni kweli
Daah..kama wife anafua sana aseee..hadi kelo hakuna siku hafui.Huyo anayelalamika mashuka kuchakaa nahisi ni mume wangu![]()
Kusema kweli tunaoa ili tuzae kwa ustaarabu na uaratibu..ila mengine yote ni overrated tu.Faida
1. Kupata support na mtu wa karibu kwenye hali zote, shida na raha, kuumwa, kufurahi.
2. Kupunguza upweke na uhakika wa kus3x wakati wowote.
3. Kuwa na majukumu hivyo kukuongezea chachu ya kufanya bidii
4. Kuepusha na tabia hatarishi kama michepuko ulevi kupindukia ili kuwa muaminifu n.k
5. Kuwa na familia yako inayoendana na jamii na maadili
Hasara
1. Kupoteza uhuru wako binafsi wa kujiamlia chochote bila kuulizwa au kumkwaza yeyote
2. Kuwa na gharama na majukumu makubwa ya kumhudumia mke, familia na mengineyo.
3. Kugawana mali zako na mtu mwingine asie ndugu yako.
4. Kuvumilia kero ndogo ndogo na drama za kuwa na mtu mwingine kwenye maisha yako kila siku na mikwaruzano ya mitazamo na maono tofauti ya ufanyaji mambo, malezi na utashi tofauti.
5. Kula mboga moja miaka yote (mboga ni tafsida).
6. Kuchapiwa japo hujui
Nakubariana nawe mkuu!Mkuu kwa wanawake wa sasahivi, ni bora usioe. Unaongeza HBP na unapunguza life expectancy yako.
Tia mimba, lea mtoto and the cycle continues...
Suala la mbususu nje muhimu sana hii..chamsingi ni kuwa makini tu na kuilinda familia..Hakuna namna mkuu mi nimeshakubaliana na matokeo.
Nguo acha apaushe ntanunua zingine lakini mbususu mpya lazima nile,kuna muda huwa namwambia kiutani utani kuwa nataka nimtafutie ka mke mwenza kazuriiiii ili nimponyeshe wivu alionao maana ana wivu wa hatari anaweza lia siku 2 au 3 mfululizo akihisi kuna demu nataka kumla
Hahahaaa, nakazia bila braza!! , futeniHuu Uzi jamani bila ya Liverpool VPN ni batili 🤣🤣jamaa anashirikiana na shetani kupinga ndoa🤣🤣🤣