Mliooa mtupe mrejesho sisi mabachela

Mliooa mtupe mrejesho sisi mabachela

Huu uzi maalum kwa wale waliooa; tunataka kujua faida mnazozipata baada ya kuoa au tuseme ni kitu gani mnaweza tushawishi sisi ambao hatujaoa tuchukue hatua kama nyinyi, hebu mtupe faida mnazozipata baada ya kuoa ambazo sisi mabachela hatuzipati.
ukitaka mambo yaende sawa ,kuwa dictator, pokea ushauri kidogo sana. ukiruhusu demokrasia umekwisha
usije kujaribu kwa mazingira yoyote yale ukaomba msamaha. wewe ni mtawala- Utawala tumepewa na Mungu
Inahitajika akili kuishi na mwanamke,kama akili huna usioe

REFERENCES:

Mwa 3:16​

Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.

1 Petro 3:7​

Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; maana wao pia ni warithi wa neema ya uzima, ili maombi yenu yasizuiliwe na chochote.
 
Mkuu nakusihi usioe kwa sasa,,

Ndoa ni vurugu tupu,
Waliooana wanataka kutoka na walioko nje nao wanataka kuingia ndani ya ndoa.

Kwa kifupi Ndoa ni uwanja wa fujo.
 
Mkuu nakusihi usioe kwa sasa,,

Ndoa ni vurugu tupu,
Waliooana wanataka kutoka na walioko nje nao wanataka kuingia ndani ya ndoa.

Kwa kifupi Ndoa ni uwanja wa fujo.
nacheka sana
 
Huu uzi maalum kwa wale waliooa; tunataka kujua faida mnazozipata baada ya kuoa au tuseme ni kitu gani mnaweza tushawishi sisi ambao hatujaoa tuchukue hatua kama nyinyi, hebu mtupe faida mnazozipata baada ya kuoa ambazo sisi mabachela hatuzipati.
Kwa kifupi NDOA NI TAMU saaana imagine kulala na mtu unayempenda Kila siku, imagine upate mwanamke msafi sasa, nyumba safi, ana Upendo, dah ambao hamjaoa mnakosa mengi.

Ile kununiwa ndio Chachandu yenyewe sasa, ewaaa mmelala na katoto kenu kachanga! Sometimes mnasaidiana kazi za hapa na pale, mnapiga story mbili tatu, una mtu wa kukuuliza na kukumbusha usichelewe Kurudi upumzike.....dah ndoa tamu sana vijana..

Ila sasa, jitahidi kuwa mtafutaji. Ukitaka nyumba iwe safi nawe pia uwe msafi, ukatafute ulete, Kijana, jukumu la kulea nyumba Yako ni LAKO na kamwe haliwezi kuwa shared.

Ukijisahau tu Ukamuachia Mkeo JUKUMU la kulisha nyumba Yako on that day My Son......dah utajutia ndoa
 
Nimekosa uhuru kabisa,kutumia simu tu ni mtihani,mara aniongeleshe wakati niko nasoma nyuzi za watu humu mara anilalie nishindwe kutumia simu

Natamani kupata mwanya wa kula mbususu mpya zinazojileta nakosa

Suruali zangu za kadeti zinapauka sana kwasababu ya kufuliwa sana na mashuka pia yanafuliwa mpaka yanachakaa ndani ya muda mfupi

Kiukwel siifurahii ndoa,hata hivyo toka zamani nilikuwa sipendi ila niligandwa nikajikuta nimekamatwa kizembe
Huna mke Wewe, trust me! Huna mke
 
Ndoa mwanzonii unajiuliza Kwanini ulichelewa kuoa,Lakini Siku zinavyo zidi kwendaa.Vitimbwi ndo vinaanza .

Ndo kale ka msemo "Ndoa ni uvumilivu"kana anza kufanya kazi.

Kadiri Siku zinavyo zidi kusogea kale ka msemo ka" Ndoa ni geraza la kujitakia" ndo una anza kukaelewa.

Badaee mshapata watoto una anza kusema "Watoto tu ndo wanafanya niwe kwenye ndoa" mbali na hapo,ninge tembea.

Baadae tena una anza kujiuliza" Hivi Kwanini nilioa? Una laod,una kosa sababu then unaendelea kulisongesha life.


Eti Wewe Kwanini unataka kuoa?
 
Kwa kifupi NDOA NI TAMU saaana imagine kulala na mtu unayempenda Kila siku, imagine upate mwanamke msafi sasa, nyumba safi, ana Upendo, dah ambao hamjaoa mnakosa mengi.

Ile kununiwa ndio Chachandu yenyewe sasa, ewaaa mmelala na katoto kenu kachanga! Sometimes mnasaidiana kazi za hapa na pale, mnapiga story mbili tatu, una mtu wa kukuuliza na kukumbusha usichelewe Kurudi upumzike.....dah ndoa tamu sana vijana..

Ila sasa, jitahidi kuwa mtafutaji. Ukitaka nyumba iwe safi nawe pia uwe msafi, ukatafute ulete, Kijana, jukumu la kulea nyumba Yako ni LAKO na kamwe haliwezi kuwa shared.

Ukijisahau tu Ukamuachia Mkeo JUKUMU la kulisha nyumba Yako on that day My Son......dah utajutia ndoa
Niko mkoani namisigi sana kulala ma kibinti changu full kukurukia mgongoni, mara mguu kichwani mara ukute kalala mgongoni yaani raha sana aisee
 
Niko mkoani namisigi sana kulala ma kibinti changu full kukurukia mgongoni, mara mguu kichwani mara ukute kalala mgongoni yaani raha sana aisee
Asante sana kunielewa Ndugu. Sema haiwezekani tu kutuma picha ila it's so sweet, Mimi akiamka ananivuta masikio na macho Ili niamke tucheze kidogo
 
ukitaka mambo yaende sawa ,kuwa dictator, pokea ushauri kidogo sana. ukiruhusu demokrasia umekwisha
usije kujaribu kwa mazingira yoyote yale ukaomba msamaha. wewe ni mtawala- Utawala tumepewa na Mungu
Inahitajika akili kuishi na mwanamke,kama akili huna usioe

REFERENCES:

Mwa 3:16​

Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.

1 Petro 3:7​

Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; maana wao pia ni warithi wa neema ya uzima, ili maombi yenu yasizuiliwe na chochote.
somo limeeleweka mtumishi
 
Mkuu nakusihi usioe kwa sasa,,

Ndoa ni vurugu tupu,
Waliooana wanataka kutoka na walioko nje nao wanataka kuingia ndani ya ndoa.

Kwa kifupi Ndoa ni uwanja wa fujo.
Kwaiyo mkuu unanishauri niongeze mitano tena
 
Kwa kifupi NDOA NI TAMU saaana imagine kulala na mtu unayempenda Kila siku, imagine upate mwanamke msafi sasa, nyumba safi, ana Upendo, dah ambao hamjaoa mnakosa mengi.

Ile kununiwa ndio Chachandu yenyewe sasa, ewaaa mmelala na katoto kenu kachanga! Sometimes mnasaidiana kazi za hapa na pale, mnapiga story mbili tatu, una mtu wa kukuuliza na kukumbusha usichelewe Kurudi upumzike.....dah ndoa tamu sana vijana..

Ila sasa, jitahidi kuwa mtafutaji. Ukitaka nyumba iwe safi nawe pia uwe msafi, ukatafute ulete, Kijana, jukumu la kulea nyumba Yako ni LAKO na kamwe haliwezi kuwa shared.

Ukijisahau tu Ukamuachia Mkeo JUKUMU la kulisha nyumba Yako on that day My Son......dah utajutia ndoa
hii imekaa sawa sana mkuu..... naunga mkono hoja
 
Cha muhimu uwe na sifa zako za muhimu mke awe nazo kisha zizingatie kabla hujafanya maamuzi ya kuoa. Mfano sifa kuu za mke ni hizi;
*Chagua Dem ambaye ni rafiki yako mnaofanana baadhi ya Hobby
*Awe mcha Mungu na awe wa dini inayofanana na yako.

Sifa nyingine zinategemeana na matakwa yako binafsi kulingana na elimu yako na kazi yako.
Faida za kuoa:
* Wewe na mkeo mtaheshimika mtaani na hata kwenye jamii.
- Kuna baadhi ya vyeo huwa anachaguliwa aliyeoa tu. (eg Mzee wa Kanisa/ Balozi wa mtaa)
*Utatengeneza kizazi chenye maadili mema maana matendo mengi yafanywayo na wazazi huja kujirudia kwa watoto wako
* Ukioa utakuwa na Kitambi, maana utakuwa unapikiwa vinono uvitakavyo. Tofauti na wasiooa huwa wanakula chips na kwenda kulala.
*Wewe ukiwa huna michepuko na mkeo nae akiwa mtulivu asiye na mapepe unakuwa tayari umeshapata dawa ya kutoambukizwa ukimwi.
 
Cha muhimu uwe na sifa zako za muhimu mke awe nazo kisha zizingatie kabla hujafanya maamuzi ya kuoa. Mfano sifa kuu za mke ni hizi;
*Chagua Dem ambaye ni rafiki yako mnaofanana baadhi ya Hobby
*Awe mcha Mungu na awe wa dini inayofanana na yako.

Sifa nyingine zinategemeana na matakwa yako binafsi kulingana na elimu yako na kazi yako.
Faida za kuoa:
* Wewe na mkeo mtaheshimika mtaani na hata kwenye jamii.
- Kuna baadhi ya vyeo huwa anachaguliwa aliyeoa tu.
*Utatengeneza kizazi chenye maadili mema maana matendo mengi yafanywayo na wazazi huja kujirudia kwa watoto wako
* Ukioa utakuwa na Kitambi, maana utakuwa unapikiwa vinono uvitakavyo. Tofauti na wasiooa huwa wanakula chips na kwenda kulala.
*Wewe ukiwa huna michepuko na mkeo nae akiwa mtulivu siye na mapepe unakuwa tayari umeshapata dawa ya kutoambukizwa ukimwi.
umetisha mikuu nimeielewa hii
 
Back
Top Bottom