Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,011
- 14,334
ukitaka mambo yaende sawa ,kuwa dictator, pokea ushauri kidogo sana. ukiruhusu demokrasia umekwishaHuu uzi maalum kwa wale waliooa; tunataka kujua faida mnazozipata baada ya kuoa au tuseme ni kitu gani mnaweza tushawishi sisi ambao hatujaoa tuchukue hatua kama nyinyi, hebu mtupe faida mnazozipata baada ya kuoa ambazo sisi mabachela hatuzipati.
usije kujaribu kwa mazingira yoyote yale ukaomba msamaha. wewe ni mtawala- Utawala tumepewa na Mungu
Inahitajika akili kuishi na mwanamke,kama akili huna usioe
REFERENCES:
nacheka sana
Eti Wewe Kwanini unataka kuoa?




