Mervin
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 1,916
- 2,638
Na haya ni machache tuNimekosa uhuru kabisa,kutumia simu tu ni mtihani,mara aniongeleshe wakati niko nasoma nyuzi za watu humu mara anilalie nishindwe kutumia simu
Natamani kupata mwanya wa kula mbususu mpya zinazojileta nakosa
Suruali zangu za kadeti zinapauka sana kwasababu ya kufuliwa sana na mashuka pia yanafuliwa mpaka yanachakaa ndani ya muda mfupi
Kiukwel siifurahii ndoa,hata hivyo toka zamani nilikuwa sipendi ila niligandwa nikajikuta nimekamatwa kizembe

. La sivyo ungejaza page nzima
. Lakini behind the scene ni




