Mliooa mtupe mrejesho sisi mabachela

Mliooa mtupe mrejesho sisi mabachela

Nimekosa uhuru kabisa,kutumia simu tu ni mtihani,mara aniongeleshe wakati niko nasoma nyuzi za watu humu mara anilalie nishindwe kutumia simu

Natamani kupata mwanya wa kula mbususu mpya zinazojileta nakosa

Suruali zangu za kadeti zinapauka sana kwasababu ya kufuliwa sana na mashuka pia yanafuliwa mpaka yanachakaa ndani ya muda mfupi

Kiukwel siifurahii ndoa,hata hivyo toka zamani nilikuwa sipendi ila niligandwa nikajikuta nimekamatwa kizembe
Na haya ni machache tu. La sivyo ungejaza page nzima
 
Walio oa hawasemagi ukweli.Wanawambia vitu vya kuvutia ambao hawajaoa kusudi waingie na wao washuhudie wenyewe Kwa macho yaoo. Lakini behind the scene ni
Mawazo yako, akili zako, sasa mi ni nani haswa hadi nipingane na ulichoandika hapa
 
aaah' nataka nipate mawili matatu kwanza kwa hao walioa nione tofauti ni nn
Ndoa mwanzonii unajiuliza Kwanini ulichelewa kuoa,Lakini Siku zinavyo zidi kwendaa.Vitimbwi ndo vinaanza .

Ndo kale ka msemo "Ndoa ni uvumilivu"kana anza kufanya kazi.

Kadiri Siku zinavyo zidi kusogea kale ka msemo ka" Ndoa ni geraza la kujitakia" ndo una anza kukaelewa.

Badaee mshapata watoto una anza kusema "Watoto tu ndo wanafanya niwe kwenye ndoa" mbali na hapo,ninge tembea.

Baadae tena una anza kujiuliza" Hivi Kwanini nilioa? Una laod,una kosa sababu then unaendelea kulisongesha life.


Eti Wewe Kwanini unataka kuoa?
 
Nimekosa uhuru kabisa,kutumia simu tu ni mtihani,mara aniongeleshe wakati niko nasoma nyuzi za watu humu mara anilalie nishindwe kutumia simu

Natamani kupata mwanya wa kula mbususu mpya zinazojileta nakosa

Suruali zangu za kadeti zinapauka sana kwasababu ya kufuliwa sana na mashuka pia yanafuliwa mpaka yanachakaa ndani ya muda mfupi

Kiukwel siifurahii ndoa,hata hivyo toka zamani nilikuwa sipendi ila niligandwa nikajikuta nimekamatwa kizembe
Wewe kama mimi tu..ebu tushauriane katika hayo.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom