Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,209
- 99,959
Naahidi kukupa muongozo burengoja nianze mchakato wakumsaka soulmate wangu mkuu
Naahidi kukupa muongozo burengoja nianze mchakato wakumsaka soulmate wangu mkuu
Ndugu Zangu Oeni Chap Chap
alaaaShetani hana tatizo lolote na wewe.Huu Uzi jamani bila ya Liverpool VPN ni batili 🤣🤣jamaa anashirikiana na shetani kupinga ndoa🤣🤣🤣
Hamna issue,ndoa ni muhimu kwa mwanamke sababu ya maumbile yao na tamaduni kwa mwanaume siyo lazima,tena kama hujastablerize financially ndo kabisa usithubutu kumchukua binadamu mwenzio aje kukufundisha namna ya kuishi !!Huu uzi maalum kwa wale waliooa; tunataka kujua faida mnazozipata baada ya kuoa au tuseme ni kitu gani mnaweza tushawishi sisi ambao hatujaoa tuchukue hatua kama nyinyi, hebu mtupe faida mnazozipata baada ya kuoa ambazo sisi mabachela hatuzipati.
Genius, loving needs no democracyMkuu kwa wanawake wa sasahivi, ni bora usioe. Unaongeza HBP na unapunguza life expectancy yako.
Tia mimba, lea mtoto and the cycle continues...
Upande wa simu na kupauka kwa cardet tupo pamojaNimekosa uhuru kabisa,kutumia simu tu ni mtihani,mara aniongeleshe wakati niko nasoma nyuzi za watu humu mara anilalie nishindwe kutumia simu
Natamani kupata mwanya wa kula mbususu mpya zinazojileta nakosa
Suruali zangu za kadeti zinapauka sana kwasababu ya kufuliwa sana na mashuka pia yanafuliwa mpaka yanachakaa ndani ya muda mfupi
Kiukwel siifurahii ndoa,hata hivyo toka zamani nilikuwa sipendi ila niligandwa nikajikuta nimekamatwa kizembe