RRONDO Platinum Member Joined Jan 3, 2010 Posts 57,853 Reaction score 129,787 Nov 26, 2017 Thread starter #21 Miss Natafuta said: huyu inatakiwa apigwe kitu cha mkeka. Click to expand... Mkeka? Bado sana.
C chotera JF-Expert Member Joined May 19, 2016 Posts 6,563 Reaction score 15,962 Nov 26, 2017 #22 RRONDO said: Kwanini huwazi kuoa? Click to expand... wanawake ni viumbe ambao hawaeleweki wanataka na hawataki nini pamoja na kua mama zetu na dada zetu lakini hamna kitu
RRONDO said: Kwanini huwazi kuoa? Click to expand... wanawake ni viumbe ambao hawaeleweki wanataka na hawataki nini pamoja na kua mama zetu na dada zetu lakini hamna kitu
Foxhound JF-Expert Member Joined Dec 15, 2013 Posts 28,735 Reaction score 76,364 Nov 26, 2017 #23 RRONDO said: Kukabidhiwa au kukabidhi? Click to expand... Kukabidhiwa, hivi unaelewa kuwa wale waliokabidhiwa bendera mara nyingi wanakuwa nyumbani ili kusikiliza matatizo mbali mbali wa wananchi wao mbali ya hivyo kuna kupandisha alfajiri na kushusha jioni
RRONDO said: Kukabidhiwa au kukabidhi? Click to expand... Kukabidhiwa, hivi unaelewa kuwa wale waliokabidhiwa bendera mara nyingi wanakuwa nyumbani ili kusikiliza matatizo mbali mbali wa wananchi wao mbali ya hivyo kuna kupandisha alfajiri na kushusha jioni
RRONDO Platinum Member Joined Jan 3, 2010 Posts 57,853 Reaction score 129,787 Nov 26, 2017 Thread starter #24 chotera said: wanawake ni viumbe ambao hawaeleweki wanataka na hawataki nini pamoja na kua mama zetu na dada zetu lakini hamna kitu Click to expand... Duh ukifika 60s kuna kuoa tena? Labda kwa aliefiwa/mtalaka na amezoea kuishi na mke
chotera said: wanawake ni viumbe ambao hawaeleweki wanataka na hawataki nini pamoja na kua mama zetu na dada zetu lakini hamna kitu Click to expand... Duh ukifika 60s kuna kuoa tena? Labda kwa aliefiwa/mtalaka na amezoea kuishi na mke
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 58,636 Reaction score 220,353 Nov 26, 2017 #25 chotera said: nina miaka 50 ya kuzaliwa sijawaza kuoa labda hadi nifiki 60 ndio nitaharibu. Click to expand... Una watoto au unasubiri wa kwenye ndoa? Ukiwafuata shule wanzao wanaweza sema babu yenu anawasubiri.
chotera said: nina miaka 50 ya kuzaliwa sijawaza kuoa labda hadi nifiki 60 ndio nitaharibu. Click to expand... Una watoto au unasubiri wa kwenye ndoa? Ukiwafuata shule wanzao wanaweza sema babu yenu anawasubiri.
C chotera JF-Expert Member Joined May 19, 2016 Posts 6,563 Reaction score 15,962 Nov 26, 2017 #26 Sky Eclat said: Una watoto au unasubiri wa kwenye ndoa? Click to expand... ninao.
Miss Natafuta JF-Expert Member Joined Sep 16, 2015 Posts 28,028 Reaction score 52,505 Nov 26, 2017 #27 RRONDO said: Mkeka? Bado sana. Click to expand... unaona shida gani kushare maisha yako na mtu mwingine?
RRONDO said: Mkeka? Bado sana. Click to expand... unaona shida gani kushare maisha yako na mtu mwingine?
C chotera JF-Expert Member Joined May 19, 2016 Posts 6,563 Reaction score 15,962 Nov 26, 2017 #28 RRONDO said: Duh ukifika 60s kuna kuoa tena? Labda kwa aliefiwa/mtalaka na amezoea kuishi na mke Click to expand... nitatafuta wa kumalizia nae maisha ya duniani le mubebiz mkareeez
RRONDO said: Duh ukifika 60s kuna kuoa tena? Labda kwa aliefiwa/mtalaka na amezoea kuishi na mke Click to expand... nitatafuta wa kumalizia nae maisha ya duniani le mubebiz mkareeez
Miss Natafuta JF-Expert Member Joined Sep 16, 2015 Posts 28,028 Reaction score 52,505 Nov 26, 2017 #29 RRONDO said: Nimeshindikana kivipi? Haya ni mawazo ya Jumapili tu... Click to expand... nimesema tu mkuu
RRONDO said: Nimeshindikana kivipi? Haya ni mawazo ya Jumapili tu... Click to expand... nimesema tu mkuu
RRONDO Platinum Member Joined Jan 3, 2010 Posts 57,853 Reaction score 129,787 Nov 26, 2017 Thread starter #30 Miss Natafuta said: unaona shida gani kushare maisha yako na mtu mwingine? Click to expand... Najiuliza nitaweza kukabidhi uhuru wangu?
Miss Natafuta said: unaona shida gani kushare maisha yako na mtu mwingine? Click to expand... Najiuliza nitaweza kukabidhi uhuru wangu?
Miss Natafuta JF-Expert Member Joined Sep 16, 2015 Posts 28,028 Reaction score 52,505 Nov 26, 2017 #31 chotera said: swali gani hili sasa. ya wazazi yanafikaje huku Click to expand... tunajadili tu mada mkuu sidhani kama nimekukosea.
chotera said: swali gani hili sasa. ya wazazi yanafikaje huku Click to expand... tunajadili tu mada mkuu sidhani kama nimekukosea.
RRONDO Platinum Member Joined Jan 3, 2010 Posts 57,853 Reaction score 129,787 Nov 26, 2017 Thread starter #32 chotera said: nitatafuta wa kumalizia nae maisha ya duniani le mubebiz mkareeez Click to expand... Ha ha ha unamtaja age mate wako!
chotera said: nitatafuta wa kumalizia nae maisha ya duniani le mubebiz mkareeez Click to expand... Ha ha ha unamtaja age mate wako!
Miss Natafuta JF-Expert Member Joined Sep 16, 2015 Posts 28,028 Reaction score 52,505 Nov 26, 2017 #34 RRONDO said: Najiuliza nitaweza kukabidhi uhuru wangu? Click to expand... uhuru gani kwa mfano? maisha yapo vile unataka yawe mkuu
RRONDO said: Najiuliza nitaweza kukabidhi uhuru wangu? Click to expand... uhuru gani kwa mfano? maisha yapo vile unataka yawe mkuu
Elias mwasibu Member Joined Dec 19, 2016 Posts 83 Reaction score 29 Nov 26, 2017 #35 mali ndo hizooo auu
RRONDO Platinum Member Joined Jan 3, 2010 Posts 57,853 Reaction score 129,787 Nov 26, 2017 Thread starter #36 Elias mwasibu said: Click to expand... Duh...huyu dada kalazimishwa?
S Sumu JF-Expert Member Joined Nov 5, 2010 Posts 7,015 Reaction score 6,246 Nov 26, 2017 #37 Mkuu, subiri ufike miaka 40 kila rafiki yako ana familia anawahi nyumbani akakae na familia yake ndo utajua umuhimu wa kuoa. Hakuna raha kama kufahamu kuna watu ambao maisha yao yanakutegemea wewe completely.
Mkuu, subiri ufike miaka 40 kila rafiki yako ana familia anawahi nyumbani akakae na familia yake ndo utajua umuhimu wa kuoa. Hakuna raha kama kufahamu kuna watu ambao maisha yao yanakutegemea wewe completely.
RRONDO Platinum Member Joined Jan 3, 2010 Posts 57,853 Reaction score 129,787 Nov 26, 2017 Thread starter #38 Miss Natafuta said: uhuru gani kwa mfano? maisha yapo vile unataka yawe mkuu Click to expand... Wewe miss acha kunizingua. Kuishi na mke si sawa na unavyoishi mwenyewe. Wengi ndoa zinawashinda kwassababu wanataka waishi ndoani kama mabachela.
Miss Natafuta said: uhuru gani kwa mfano? maisha yapo vile unataka yawe mkuu Click to expand... Wewe miss acha kunizingua. Kuishi na mke si sawa na unavyoishi mwenyewe. Wengi ndoa zinawashinda kwassababu wanataka waishi ndoani kama mabachela.
Promethazine JF-Expert Member Joined Sep 6, 2017 Posts 262 Reaction score 260 Nov 26, 2017 #39 You spoke my thoughts, kuoa ni uamuzi mmoja wa kishujaa sana. Hii pia iko kwenye list ya maamuzi magumu.
You spoke my thoughts, kuoa ni uamuzi mmoja wa kishujaa sana. Hii pia iko kwenye list ya maamuzi magumu.
mito JF-Expert Member Joined Jun 20, 2011 Posts 10,811 Reaction score 11,028 Nov 26, 2017 #40 chotera said: nina miaka 50 ya kuzaliwa sijawaza kuoa labda hadi nifiki 60 ndio nitaharibu. Click to expand... Khaaa
chotera said: nina miaka 50 ya kuzaliwa sijawaza kuoa labda hadi nifiki 60 ndio nitaharibu. Click to expand... Khaaa