Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,860
- 15,301
Ina mana hadi leo hawajawahi onana na mama yao hao watoto?Ni habari nzuri kuskia kwamba wamepatikana. lakini ninasikitika kwamba hadi sasa hivi March 2022 niko ofisi moja arusha na mama wa huyo binti na binti hajawasiliana na mzazi wake bado, ushauri wenye tija tafadhali kwa ajili ya kumsaidia huyu mama angalau apate kuwasiliana na binti yake. Grace aliyetoa update nilimuandikia kule michuzi lakini hajajibu bado.