Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 4,794
- 3,724
Umenifanya nicheke sana mkuu,hiyovkitu ni kwereee arifuAisee arif hilo zaga ni kwere babalai..nilikulaga ile Raha Poa tano nikalala mlangoni mpaka asubuhi. Enzi ile ikiwa kwenye chupa ya kioo unafungua kwa process kama kizibo cha rejeta iliyochemsha.
nilijipigilia vyupa vyangu hapo mitaa ya sanawari karibu na simba grili,nikapandisha zanu sanawari ya juu, nilipoingia geto sijui ni nini kiliendelelea jombaaa! Hakika pombo ni mwanakharamu