Mlioijaribu Bia ya Arusha almaarufu "Banana", hebu tupeni feedback

Mkuu umenikumbusha miaka ya 2006 hadi 2009 nilikuwa nainya sana hii banana. kama ulivyosema, kuifungua ni nusu saa, ukikurupuka inamwagika yote unaambulia machicha
hapo kwenye bold and underline
 
Mkuu na wewe michosho, sawa ulikunywa banana yenyewe na sio Bia ya banana, lakini kwanini unywe banana ili hali umevaa Saa ya Dollar 170? ulifkaje maeneo hayo?????
Ujue wakati ule utoto ni mwingi najaribu kila kitu nakumbuka nilikuwa likizo ya kwanza ya form 5 around september enzi zile. Nadhan ilikuwa inauzwa 400 au 500.

Duc in Altum
 
Nimekuwa nikikatiza maeneo na kukuta hii Bia ingawa binafsi sijawahi ijaribu...ila natamani nione what a local beer has to offer, especially from Arusha!

Mliowahi jaribu hii kitu, je ipo level za kina Serengeti na Kilimanjaro? Wengine walikuwa wanasema ati mataputapu, msemo huu una maana gani?
2006 nikiwa hostel kuna rafiki zangu wawili walikuja na banana 3 maana yake 1 kwa kila mmoja wetu,mimi yangu nikaiweka tu nikiiogopa kuinywa maana nilikuwa sijawahi inywa.
Mwenzangu mmoja alipo maliza kunywa yake akaanza kuitamani yangu pia nami bila ajizi nikamruhusu anywe,baada ya kumaliza tu kunywa alilewa kwa kiwango ambacho sikuamini macho yangu na ni mtu ambaye alikuwa mnywaji mzuri sana wa vilevi vingine.
Toka siku hiyo huwa naiona tu sitaki hata kuijaribu.
 
2006 nikiwa hostel kuna rafiki zangu wawili walikuja na banana 3 maana yake 1 kwa kila mmoja wetu,mimi yangu nikaiweka tu nikiiogopa kuinywa maana nilikuwa sijawahi inywa.
Mwenzangu mmoja alipo maliza kunywa yake akaanza kuitamani yangu pia nami bila ajizi nikamruhusu anywe,baada ya kumaliza tu kunywa alilewa kwa kiwango ambacho sikuamini macho yangu na ni mtu ambaye alikuwa mnywaji mzuri sana wa vilevi vingine.
Toka siku hiyo huwa naiona tu sitaki hata kuijaribu.
Ile kitu ni hatar na imewaharibu vijana wengi Arusha japo sasa iv hazitoki kali kama za zamani.

Duc in Altum
 
Manina hiyo kitu sitak kusikia nilikunywa tatu mwaka2005 nikalewa chaka nikaanguka saa yangu ya mkononi ya dola 170 ikapasuka. Sitaisahau milele aisee.

Duc in Altum
du ! Jamaa muongo wewe..saa dola 170 unakunywa matapu tapu ya sh.200 ?
 
Hiyo kitu ipite mbali sana na mm kwa ukatili iliyonifanyia,nilikunywa nne nikapoteza kabisa mhimili wa kitembea nilipepesuka ni kaangukia bati nikachanika kiganja cha mkono.
 
banana sina hamu nayo, ukichungulia kwa chini hahaaa. halafu inalegeza joints
 
Muongo huyo... mie mwenyewe saa zangu mwishoe mwenyewe saa zangu mwisho 15000, nasifiki hayo maeneo
Mkuu na wewe michosho, sawa ulikunywa banana yenyewe na sio Bia ya banana, lakini kwanini unywe banana ili hali umevaa Saa ya Dollar 170? ulifkaje maeneo hayo?????
 
Hiyo kitu hatarii... Maisha ya chuo enzi hizo tukipigika tunahamia kwa banana buku 2 tu inatosha kufanya maangamizi...
 
Nisaidieni kwa beer ya plisber ice maarufu kama ukawa au chadema. Ni kama ukinywa nne akili inahama kwa sisi tuliozoea castle lite.
 
banana ya zamani ndio ilikua kali.......makonda wa kijenge n mwanama ndio zimewamaliza kiafya...kuna jamaa alikunywa 5 akasizi n kuachia kojo la kutosha......alikua anakunywa safari 12 cku hiyo akawakuta washkaji wanakunywa banana nae akasema ngoja ajaribu ikawa balaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom