Saa ya shemeji yake kaenda kuwaoshea walevi wenzakemkuu si mimi. huyo ni J33 angalia post no 2 hapo juu
Why cant u use ur head just for once?du ! Jamaa muongo wewe..saa dola 170 unakunywa matapu tapu ya sh.200 ?
Kuna nyingne inaitwa bhunubunduu inatengenezwaa kuleee ngalimii ukipiga mbilii ukasimama we kidumeeJaribu tu mkuu utajutia maamuzi yako, tena zipo aina kama tatu hivi kama sijakosea kuna kibo, raha na kiboko embu anza na hio kibo kwanza afu uje ulete mrejesho hapa.kila kheri
Bw. JJ, ningependa sana kufanya mahojiano na wewe na hatimaye kuyarusha kwenye podcast na kwenye bongoradio.com. Nina uhakika watu wengi wangependa kusikia maoni yako kuhusu mambo mbalimbali yahusuyo nchi yetu. Tafadhali wasiliana nami hapa mwanakijiji@journalist.com
KLH News - On the cutting edge of Tanzanian News.....online!![
nilianza kwa kunywa mbili, baadae tatu,,, saba..... Hadi mwisha naacha kuzinywa (sisemi sitazinywa tena) nilikuwa na uwezo wa kunya banana 10 ndani ya usiku mmoja tu. lakini tatizo ukiamka asubuhi mdomo unanuka ka umekula kinyesi cha binadamu. tena utahitaji maji menge sana ili kuuweka mwili sawaBanana moja ni sawa na bia 5 kudadeki, niilikunywa 3, nikalala hadi kesho yake saa 10 . Safi sana.
hahaaa, unaijua hii kitu mkuu? basi wewe ni r chuga wa ukwelijaribu ile banana white wine utaipenda saaana.
Nimekuwa nikikatiza maeneo na kukuta hii Bia ingawa binafsi sijawahi ijaribu...ila natamani nione what a local beer has to offer, especially from Arusha!
Mliowahi jaribu hii kitu, je ipo level za kina Serengeti na Kilimanjaro? Wengine walikuwa wanasema ati mataputapu, msemo huu una maana gani?
Doh! Umekula taputapu na kidonda cha $170? hatari sana MkuuManina hiyo kitu sitak kusikia nilikunywa tatu mwaka2005 nikalewa chaka nikaanguka saa yangu ya mkononi ya dola 170 ikapasuka. Sitaisahau milele aisee.
Duc in Altum
Mambo ya marinda huwa hawasemi hata siku mojaMkuu usiijaribu tena,shukuru tu saa ilipotea marinda yakabaki salama.