Aiba
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 2,039
- 3,879
Usimuweke ndugu yako kusimamia biashara yako hautaweza kumcontorl na utagombana naye undugu utakufa bure ndugu ni WA kuweka mbali na Mali zako na vitega uchumi vyako labda kama uyo ndugu naye ni mchakarikaji Ila kama ni goigoi kaa mbali naye utalia na hutakiwa na la kumfanyaMkuu nina ndugu yangu mmoja hivi kwa mfano, kwa bahati mbaya kila nikijaribu kumshika mkono mambo yanakuwa yanenda ndivyo sivyo. Biashara hazifanikiwa yaani kila kinachoguswa hakiendi. Nilidhani ni uzembe nikafanya alaysis nikagundua yapo mambo mengine huenda ni nje ya uwezo.