Mlioenda kufanya interview Viettel(Vietnam telecommunication) leo!!

Mlioenda kufanya interview Viettel(Vietnam telecommunication) leo!!

iq test inakuchemsha sasa ukipewa assignment inakuwaje? Ikaze akili kwa kujifunza mambo mbalimbali. Ile ilikuwa kujua ufahamu wako uko kiasi gani.
 
Ningekua mimi Ningejibu hivi 1.e, 2.b, 3.c, 4.d, 5.c, 6.b, 7.b, 8.e
 
Hakuna sehemu rahisi katika interview kama sehemu ya kupima kiwango cha ufikiri 'IQ'...

Kwani vijana hayo maswali mliokuwa mnapewa ugumu wake u wapi?

Wengi hudhani interview ni GPA zao ndio zitawabeba kumbe unakutana na vitu normal na vingi unatumia general knowledge kwa lengo la kuangalia kama mtu anafudishika au akielekezwa anaelewa
 
Wataalamu si wanatuambia IQ ya mwanadamu wa kawaida inaanzia 70 chini ya hapo kuna shida, ngoja waje wataalamu ila sina uhakika mkuu usihofu na maelezo yangu

mkuu tatizo yalikuwa yale maumbo ila nadhani kile si kipimo sahihi kwani kiko ktk %. What about wale jamaa wenye 200 tunaoambiwa wako vizuri zaidi duniani? anyway, sina uzoefu hapo. na wewe ulifanya?
 
unaweza pata hapo...kuna wengine wamechezea za uso
 
Nimeipenda hii topic.. Mimi pia nilituma maombi kwenye hii company japo kwa kuchelewa. Naomba mnisaidie kunieleza, jamaa wameshamaliza kuita watu au zoezi la kuita linaendelea, yaani wanaita watu in batches?

Ofisi za hii kampuni ziko wapi na wanatarajia kuanza operations lini? Pia naomba mnisaidie, procedures za recruitment yaani hizi aptitude tests nk, ni kwa wote, yaani graduates (fresh) from school na watu wenye experience au vipi?

Natanguliza shukrani zangu kwenu wote na kuwatakia kila heri.
 
mkuu tatizo yalikuwa yale maumbo ila nadhani kile si kipimo sahihi kwani kiko ktk %. What about wale jamaa wenye 200 tunaoambiwa wako vizuri zaidi duniani? anyway, sina uzoefu hapo. na wewe ulifanya?

Hapana sijafanya mkuu na wala sijui kipimo cha IQ kinafananaje ila niliona viwango vyao wanavyoweka nikataka kujua kwa wajuzi wa mambo watiririke baada ya comment yako, by the way usife moyo kwani kwa kuitwa tu kwenye interview nayo ni achievement pia hata usichaguliwa kuna vitu umejifunza vitakuwa msaada siku nyingine
 
I think kuna wakati Akili za Jamii Forums inabidi Uchanganye na zako... Coz nakumbuka kila mtu alisema hii kampuni ni feki na ni matapeli tu...
 
Ngoja tuone hiyo oral itakuwaje

I think kuna wakati Akili za Jamii Forums inabidi Uchanganye na zako... Coz nakumbuka kila mtu alisema hii kampuni ni feki na ni matapeli tu.
 
Nimeipenda hii topic.. Mimi pia nilituma maombi kwenye hii company japo kwa kuchelewa. Naomba mnisaidie kunieleza, jamaa wameshamaliza kuita watu au zoezi la kuita linaendelea, yaani wanaita watu in batches?

Ofisi za hii kampuni ziko wapi na wanatarajia kuanza operations lini? Pia naomba mnisaidie, procedures za recruitment yaani hizi aptitude tests nk, ni kwa wote, yaani graduates (fresh) from school na watu wenye experience au vipi?

Natanguliza shukrani zangu kwenu wote na kuwatakia kila heri.

I think kuna wakati Akili za Jamii Forums inabidi Uchanganye na zako... Coz nakumbuka kila mtu alisema hii kampuni ni feki na ni matapeli tu.
 
I think kuna wakati Akili za Jamii Forums inabidi Uchanganye na zako... Coz nakumbuka kila mtu alisema hii kampuni ni feki na ni matapeli tu.

hapa JF kuna binadamu kama wew so unatakiw uchukue ushauri wa wana JF bt sio uamuzi wa wana JF
muamuzi ni wew
 
I think kuna wakati Akili za Jamii Forums inabidi Uchanganye na zako... Coz nakumbuka kila mtu alisema hii kampuni ni feki na ni matapeli tu...

Avoid generalization and your life will be good and your communication skills will improve.Swali la kizushi kwako kama kila mtu alisema na wewe ni mtu,je na wewe ulisema?
 
Back
Top Bottom