Mliobobea katika 'Saikolojia' na 'Maono' kwa 'Msisitizo' wa 'Kauli' ya Rais Dkt. Magufuli mnamwambiaje 'Prime' Majaliwa?

Magufuri ni muwazi sana, anakupa taadhari ili akikutumbua usije sema hakukwaambia mapema
Rais Dk. Magufuli ana karibia 99.9% ya 'Sifa' zangu zote za 'Kiasili' kabisa kama vile.....

1. Kutoogopa
2. Kujiamini
3. Ukweli
4. Uwazi
5. Kutotabirika
6. Kutopenda Kushobokewa
7. Kutokuwa Mnafiki na Kumuonea Mtu Aibu hata kama ni Baba yangu, Mama yangu, Dada na Kaka yangu, Ndugu na Marafiki zangu wote

Yawezekana na Mimi GENTAMYCINE labda pasipokujua Mwenyezi Mungu 'ananiandaa' nami kuja kuwa Rais wa Tanzania ambapo 'mtanikoma' tu.
 
Rais Dk. Magufuli ana karibia 99.9% ya 'Sifa' zangu zote za 'Kiasili' kabisa kama vile.....

1. Kutoogopa
2. Kujiamini
3. Ukweli
4. Uwazi
5. Kutotabirika
6. Kutopenda Kushobokewa
7. Kutokuwa Mnafiki na Kumuonea Mtu Aibu hata kama ni Baba yangu, Mama yangu, Dada na Kaka yangu, Ndugu na Marafiki zangu wote

Yawezekana na Mimi GENTAMYCINE labda pasipokujua Mwenyezi Mungu 'ananiandaa' nami kuja kuwa Rais wa Tanzania ambapo 'mtanikoma' tu.
shida pekee ya sisi wa TZ tushazoea unafki, mtu akiwa mkweli anakuwa adui
 
Pamoja na YOTE ni RAIS MAGUFULI Pekee anayetukumbusha kuwa HATA sisi wanyonge tunaweza kupata nafasi za KUHUDUMU popote pale na si tu ile "CIRCLE" iliyojichimbia ndani ya CHAMA na mamlakani....

JPM anatuondolea IMANI ya "umungu mtu" wa baadhi ya WATU waliotufikisha HAPA TULIPO....

Kwa JPM kesho YA MWANASIASA haijulikani....

Maendeleo Hayana Vyama
 
Kupongeza ni uungwana na ustaarab kumkalia kimya aliyekupongeza si ustaarab ni kibri na majivuno pia ni machukizo mbele ta Mungu
Sawa ila inabaki ni TAFSIRI YAKO....

Tafsiri ya JPM ilikuwa ni tofauti na yako(haina kosa)...

Tafsiri yake ni ule uzoefu wake kwa WANASIASA na FAMILIA ZAO kutengeneza mazingira ya "KUKUMBUKWA" Katika UTEUZI...kwake aliona kuwa PONGEZI HIZO ZA MOTO ni Kama "bribe"😂😂😂😂
 
"Huna hakikisho la kuwa hapo kwa miaka mitano"

"Acha kudhani kuwa ni mwenye bahati kuliko wengine"

"Hata Mkeo nae ajiandae Kisaikolojia kama usipodumu hapo"

"Nilipokuwa naapishwa alinitumia Meseji ya Pongezi na wala sikumjibu ili asije kudhani kuwa bado atakuwa Waziri Mkuu"

"Umesema Mkeo anakupa Raha ila kwa sasa sidhani hata kama hiyo Raha utaipata tena"

"Na wala Watu wako wa Lindi huko waache Kujisifu kuwa Wewe umerejea tena na utadumu katika Cheo hiki"

"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"

Binafsi kuna nilichokigundua kwa haraka sana hasa baada ya Kuangalia tu 'Body Language' ya Rais Dk. Magufuli na 'Hofu' machoni mwa Waalikwa ila nitakisema baadae kabisa. Na leo pia nimeweza kujua 'Sifa' nyingine aliyonayo Rais Dk. Magufuli ya kutokuwa Mtu wa 'Kutabirika' kutopenda 'Mazoea' hana 'Unafiki' na anachukia mno Mtu 'Kujipendekeza' hovyo Kwake.

Rais Magufuli ni mtu wa kazi

Hana urafiki wala unafiki wa kumpamba mtu ati sababu wanajuana au anamuonea aibu

Kweli hii HAPA KAZI TUU AWAMU YA PILI ndio imeanza😁😁👍
 
Kumbe jamaa kuzunguka huku na kule kumpigia kampeni jiwe alikuwa "anajipendekeza" tu!!!

Aisee, hata kama ila amemshushia sana heshima mbele za taifa na familia yake. Rais ajifunze kuwa na ukomo wa maneno ya kuzungumza. Huu sio uungwana na kama maneno hayo angekuwa anayasimamia moyoni mwake asingefanya hila kwenye uchaguzi.
 
Rais Dk. Magufuli ana karibia 99.9% ya 'Sifa' zangu zote za 'Kiasili' kabisa kama vile.....

1. Kutoogopa
2. Kujiamini
3. Ukweli
4. Uwazi
5. Kutotabirika
6. Kutopenda Kushobokewa
7. Kutokuwa Mnafiki na Kumuonea Mtu Aibu hata kama ni Baba yangu, Mama yangu, Dada na Kaka yangu, Ndugu na Marafiki zangu wote

Yawezekana na Mimi GENTAMYCINE labda pasipokujua Mwenyezi Mungu 'ananiandaa' nami kuja kuwa Rais wa Tanzania ambapo 'mtanikoma' tu.
Hahahhaahhaaahahahhaaha Asante Raisi mtarajiwa
 
Kwanza mimi ni mshauri kwamba kwa kauli za Rais leo hatakama hajasema. Lakini ukisikiliza katikati ya maneno yake yaani kile asichokisema. Ni kuwa baada ya kuwatoa na kuwafuta wale Wabunge waliogezu bunge kuwa genge la wahuni mfano Lissu, Lema and Co.

Sasa kazi inayofuata anaenda kuhakikisha ile tabia ya mtu kukusanya genge la wahuni na mafisadi wenzake wamnzunguke na awalaghai , kuhonga kwa ahadi za vyeo na fedha za kuhongwa na fadhila na kuwaloga wamsafirishe kumfikisha ikulu kama rais haitakuwa na nafasi tena Tanzania. Ni kama kawatahadharisha wengine wote akiwemo PM wasifikiri mbinu hii itawaacha salama. Ndiposa hii kauli ya Rais 'nawatahadharisha msije mkaliwa fedha zenu.'

Na kwa hili na mshukuru Mungu sana kwa ajili ya JPM. Kama kuko mahali ambapo taifa hili liliingia matatani ni pale tulipopata Rais wa sifa za kutengenezwa zisizo zake. JPM kesha fanya mambo mengi kwa legacy yake. Lakini legacy kubwa zaidi ni kutuachia mfumo ambao tutapata viongozi kwa sifa zao walizojaliwa na Mungu kama karama/talent sio sifa za kujibumbia. Wako viongozi na hasa vijana katika uongozi waliochipukizwa awamu ya 4 ya uongozi wa taifa hili. Watu ambao hawana sifa za uongozi lakini wanatafuta sifa za kubumba bumba. Hawa ni hatari hata kuingia katika baraza la mawaziri lillilosalia kutangazwa. Na ashukuriwe Mungu wa mbinguni kwa kuwa Rais kaliona hili na anachukuwa muda kujiridhisha na kujitafakarisha. Hekima ya Mungu wa mbinguni izidi kuwaongoza wote wanaohusika katika mchakoto wa kukamilisha kupata team ya uongozi wa Taifa letu awamu hii.

Jambo jengine mh Rais unatakiwa kuendelea kumshukuru Mungu kwa team ya wasaidizi wako. Ukisikia kauli za wote walio ongea leo. Jaji mkuu kwa mfano aaah! JPM anabahati ya kuzungukwa na viongozi wazuri wenye kujielewa, kujiheshimu na heshima kwa hakika.
 
Back
Top Bottom