GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,922
- Thread starter
- #21
Kuna Mbunge Mmoja 'Maarufu' tu na alikuwa Waziri nimekutana nae mara tatu 'Bagamoyo' ambapo ninaenda 'Kuroga' Taifa Stars iishinde Tunisia.Leo nimemkubali sana Rais Magufuli hasa kuhusu wabunge wanaoenda kuroga wawe mawaziri!