Mlio Dar, taarifa hii ni kweli by SATIVA

Mlio Dar, taarifa hii ni kweli by SATIVA

Sidhani kama kuna wabongo wengi wenye shauku ya kufuatilia siasa na matukio ya kisiasa haswa yanayohusu CCM au serikali kwa sasa...

Haya matukio yamebakia kuwa sehemu maisha ya viongozi na wafuasi wachache wanufaika wa CCM&co...
Shida ni watakao zushiwa kama wasababishi, why polisi wazurure kama askari kanzu mjini
 
Huu ni ule wakati ambao mtu akilala na kuota ndoto nyevu basi chap anaamka na kuanza kuandika ile ndoto yake nyevu mtandaoni.

Tuwe makini kweri kweri 😎.
Usiwe CCM. Fanya utafiti, nenda maeneo aliyoyataja hakikisha! Njoo then uandike ulichokiona.
 
Back
Top Bottom