Mlinzi mwaminifu! Kapumzike kwa amani

Mlinzi mwaminifu! Kapumzike kwa amani

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,559
Reaction score
860,712
Ipo siku yatawarudia haya
IMG-20171202-WA0026.jpg
karma is bitch....
 
ila pia ipo siku yatawatokea...(hii engineering mnayofanya)..kwa hiyo ina maana hao wauaji always huwa ni learners ...huwez niambia nyumba ina gate watu trained kuua wanakuja wote wanaingia ndani direct....na kama walikuwa nje wakampiga mbwa risasi ..ss mheshimiwa na wife walipita wapi mpk kufanikiwa kutoroka....vitu vingine ni vya kufikirisha sana....siasa siku hizi kila mtu anatishiwa kuuawa tu...... kama ni kweli tumefikia pabaya lkn kama ni issue za kutengeneza for popularity tunajipeleka pabaya (haya matukio yatazoeleka ...watu watatenda kweli)
 
Tuanzishe operation FUKUZA LOWASA, BADILI MBOWE, TIMUA MASHINJI
 
Back
Top Bottom