RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,727
- 107,840
Nasikia ukilewa ndio unaonesha tabia yako halisi 😂😂Tatizo langu si bia ya 3000 kumbuka ukiwa mlevi wa style yangu hatakama ukiwa unakunywa bia ya buku bado utazua, tatizo hapa ni matumizi yasiyo kwenye bajeti nikilewa nakuwa na huruma sana na kupenda sifa za kijinga. Sio kwamba kila nikienda kulewa naenda na hela zote hizo hiyo hutokea mara chache account ikiwa vizuri kuna wakati naenda kunywa na 30 tu ikiisha narudi home. Pia elewa hata ukitumia hela ndogo bila bajeti ni ufujaji tu tunatakiwa kutumia hela kulingana na kipato chetu na vipaumbele vyetu vitu vya msingi kwanza then starehe kwa hela ya ziada.