ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,577
- 44,814
Points zangu ni zifutazo
1. Pombe
Inamaliza Sana Hela hasa ukinywa za kampani za kuzungusha yule mupe yule muruke ila bia za kunywa mwenyewe hazifilisi hata kidogo kwani huwezi kuchoma laki Kwa siku ukiwa unakunywa peke yako
2. Mademu
Hawamalizi Hela kama ukiwa na msimamo mmoja kwamba bei elekezi umeamua Kuwapa 10000 au 15,au twenty. Binafsi sijawahi kumpa mwanamke 50000 eti nimkule tu ni heri ni Kajinyonge mwenyewe 🤳
3. Kamari
Hii kitu sio poa hasa Kwa sisi watia mizigo ya kwendA high stake. Huwa naweka laki Mara nyingi Sana hasa napokuwa na pesa zaidi ya million tano na kuendelea(watapinga watu kwamba najimwambafai Sina hela Hizo) ila uzuri wa Kubet style yangu ni kutia mizigo mikubwa kwenye odds Kwa timu Moja tu mfano Jana match ya NICE kufungwa alipewa odds 4 nikazifuata gal sport nikala laki nne ila pia nilimuua Barcelona nikaliwa kichwa so kamari ni hatari Sana unapokuwa na pesa nyingi kwani unashawishika kutia Hela nyingi na ukiliwa nyingi pia.
1. Pombe
Inamaliza Sana Hela hasa ukinywa za kampani za kuzungusha yule mupe yule muruke ila bia za kunywa mwenyewe hazifilisi hata kidogo kwani huwezi kuchoma laki Kwa siku ukiwa unakunywa peke yako
2. Mademu
Hawamalizi Hela kama ukiwa na msimamo mmoja kwamba bei elekezi umeamua Kuwapa 10000 au 15,au twenty. Binafsi sijawahi kumpa mwanamke 50000 eti nimkule tu ni heri ni Kajinyonge mwenyewe 🤳
3. Kamari
Hii kitu sio poa hasa Kwa sisi watia mizigo ya kwendA high stake. Huwa naweka laki Mara nyingi Sana hasa napokuwa na pesa zaidi ya million tano na kuendelea(watapinga watu kwamba najimwambafai Sina hela Hizo) ila uzuri wa Kubet style yangu ni kutia mizigo mikubwa kwenye odds Kwa timu Moja tu mfano Jana match ya NICE kufungwa alipewa odds 4 nikazifuata gal sport nikala laki nne ila pia nilimuua Barcelona nikaliwa kichwa so kamari ni hatari Sana unapokuwa na pesa nyingi kwani unashawishika kutia Hela nyingi na ukiliwa nyingi pia.