King Jody
JF-Expert Member
- Oct 8, 2022
- 914
- 1,704
Unampigia kuwa una shida fulani, anakwambia njoo sehemu fulani, ukifika anakwambia agiza bia,
kunywa tani yako usahau shida zako,
Lakini kukupa pesa mkononi ni mwiko, sijui kwanini walaevi huwa hawapendi kutoa pesa taslimu, pombe utakunywa ya kutosha lakini wakati mwingi hata chakula tu hawezi kukununulia,
Mwenye kujua sababu hasa inayosababisha mlevi asitoe hela yake kumsaidia mtu anaweza kutujuza.
kunywa tani yako usahau shida zako,
Lakini kukupa pesa mkononi ni mwiko, sijui kwanini walaevi huwa hawapendi kutoa pesa taslimu, pombe utakunywa ya kutosha lakini wakati mwingi hata chakula tu hawezi kukununulia,
Mwenye kujua sababu hasa inayosababisha mlevi asitoe hela yake kumsaidia mtu anaweza kutujuza.