Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,499
Mtangazaji na mwanaharakati wa kijamii, Mkuwe Abdul Isale maarufu kama Mamy Baby, ameonyesha nia ya kulitumikia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum.
Kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) – Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Tabora, Mamy Baby amechukua rasmi fomu ya kuwania nafasi hiyo leo Juni 28, 2025.
Mamy Baby ambaye amejipatia umaarufu kupitia kazi zake za utangazaji na shughuli za kijamii kupitia taasisi yake ya Dada Hood, amesema ana lengo la kuwasemea wanawake wa Mkoa wa Tabora na kuendeleza juhudi za kusaidia makundi yenye uhitaji.
Kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) – Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Tabora, Mamy Baby amechukua rasmi fomu ya kuwania nafasi hiyo leo Juni 28, 2025.
Mamy Baby ambaye amejipatia umaarufu kupitia kazi zake za utangazaji na shughuli za kijamii kupitia taasisi yake ya Dada Hood, amesema ana lengo la kuwasemea wanawake wa Mkoa wa Tabora na kuendeleza juhudi za kusaidia makundi yenye uhitaji.