dmketo
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 618
- 1,019
Sahihi kabisaMiaka hii ya sasa unaweza kumsikia kiongozi wako akiongea ukatamani uingie chini ya meza, ni kwa bahati mbaya sana meza zetu za sasa hazina mazingira ya kutosha kujificha.
Sahihi kabisaMiaka hii ya sasa unaweza kumsikia kiongozi wako akiongea ukatamani uingie chini ya meza, ni kwa bahati mbaya sana meza zetu za sasa hazina mazingira ya kutosha kujificha.
Sahihi kabisa mkuuKabisa yaaan mkuu ukiskia kimiti anatoa hoja unajua kabisa Kuna mtu anaongea, sasa Leo ebu kamsikie Babu Tale akiongea utaona aibu wakenya wasiipate
Sahihi kabisaSikuizi hamna mchujo, hamna vetting, ukiwa tu maarufu
No wonder kuna watu wa ajabu mle
😂😁😄🤣🤣😁😄Mwenye Kupenda Haoni, Chongo Atasema KengezaHapo kiungo anachofaidi ni lips bin denda
Aibu Sana Wabunge Wa Kijani Yaani Oops OohsNiliwahaidi T-shirt
nimeleta sijaleta
Siyo MbungeMnasema ni mke wa Mbunge.. mbunge nani ?
Ila ajipange maana Munde kajipanga hapo Tabora, mbaya kabisaMummy Bebi Ni Muke Ya Boss Hassan Abas
Anapitishwa Chap
CCM WatauwanaIla ajipange maana Munde kajipanga hapo Tabora, mbaya kabisa
Zamani gani? Wabunge wa 95 tu hapo walikua hamna kituMiaka ya zamani ukiambiwa mtu ni mbunge, akianza kuongea tu, unasema huyu kweli ni mbunge. Siku hizi mtu yeyote anaweza kuwa mbunge, waziri n.k. Kila la heri kwake.
Haka si kalikuwa ka dj kanapiga piga kelele pale clouds?Mtangazaji na mwanaharakati wa kijamii, Mkuwe Abdul Isale maarufu kama Mamy Baby, ameonyesha nia ya kulitumikia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum.
View attachment 3386763
Kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) – Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Tabora, Mamy Baby amechukua rasmi fomu ya kuwania nafasi hiyo leo Juni 28, 2025.
View attachment 3386765
Mamy Baby ambaye amejipatia umaarufu kupitia kazi zake za utangazaji na shughuli za kijamii kupitia taasisi yake ya Dada Hood, amesema ana lengo la kuwasemea wanawake wa Mkoa wa Tabora na kuendeleza juhudi za kusaidia makundi yenye uhitaji.
View attachment 3386766
Uyo Munde jina lake kamili ni naniIla ajipange maana Munde kajipanga hapo Tabora, mbaya kabisa
Munde Tambwe kama sijakosea ..Mbunge wa CCM viti Maalum Mkoa wa Tabora na Mjumbe wa Kamati Kuu Taifa..Uyo Munde jina lake kamili ni nani
Ni yeyeee.Dkt Hassan Abas
"Nimekua nikiomba barabara kwa miaka mitano" 🚮Kabisa yaaan mkuu ukiskia kimiti anatoa hoja unajua kabisa Kuna mtu anaongea, sasa Leo ebu kamsikie Babu Tale akiongea utaona aibu wakenya wasiipate
Endelea kuangalia aina ya watia nia wanaoutaka ubunge leo angalia na wabunge wa hapo nyuma mpaka kuja kwa Sitta na mama Makinda, utaelewa namaanisha nini.Zamani gani? Wabunge wa 95 tu hapo walikua hamna kitu
Nimeisoma kwa kumaanisha sana yaani mbunge anaongea bungeni Dodoma ila aibu napata mimi wa Kantalamba Rukwa huko😂Miaka hii ya sasa unaweza kumsikia kiongozi wako akiongea ukatamani uingie chini ya meza, ni kwa bahati mbaya sana meza zetu za sasa hazina mazingira ya kutosha kujificha.
Walifanya deni la taifa kuwa dogo sana hd kiongozi alikuwa anaogopa kukopa ovyo. Walifanya wananchi wajione tuko na wawakilishi wetu bungeni ndo maana kutekana tekana haikuwepo maana bunge lilikuwa linaongea ya wananchi. Hili la sasa limefanya nini?Walifanya nini cha maana hao wabunge wa zamani?