GE2025 Mkuwe Isale (Mamy Baby) achukua fomu ya kugombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora

GE2025 Mkuwe Isale (Mamy Baby) achukua fomu ya kugombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Haka si kalikuwa ka dj kanapiga piga kelele pale clouds?
Clouds FM walikaibua Tabora walipoenda kwenye show ya Fiesta! Kalikuwa kachakaramu tu! Kweli watu kama Mumy Baby wanaweza kuwa planners of the state? Hii nchi ngumu
 
Walifanya deni la taifa kuwa dogo sana hd kiongozi alikuwa anaogopa kukopa ovyo. Walifanya wananchi wajione tuko na wawakilishi wetu bungeni ndo maana kutekana tekana haikuwepo maana bunge lilikuwa linaongea ya wananchi. Hili la sasa limefanya nini?
Lingekuwa limefanya kazi yake kama unavyosema basi kutekana kusingeibuka, wala serikali isingekuwa inakopa ipendavyo. Mazingira ya sasa yametengenezwa na hilo bunge unalosema lilikuwa bora.
 
Kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) – Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Tabora, Mamy Baby amechukua rasmi fomu ya kuwania nafasi hiyo leo Juni 28, 2025.

Naona anataka kupitia ugodfather wa mumewe...
 
Nimeisoma kwa kumaanisha sana yaani mbunge anaongea bungeni Dodoma ila aibu napata mimi wa Kantalamba Rukwa huko😂
Wewe angalia tu, umekaa zako unakumbuka bungeni paliwahi kuwepo wabunge walioongea taifa likasimama, ghafla leo unamsikia mbunge anasema wakenya wakiendelea kumsema Rais wetu tutawatumia 'dotto magari' mmoja tu awakomeshe.

Yaani mbunge anayelipwa kodi zetu anaamini dotto magari ni mtu wa maana kiasi cha kutaka atumike kuwajibu watu wa taifa jingine, huwezi kutamani ufukie kichwa chako ardhini?
 
Umeukimbia ukimwi XXL umeamua kuufuata dodoma hahaha

Hivi afya za watu huwa mnazijuaje?
Huwa nashangaa mtu anapomsema mwingine kuhusu afya yake na yawezekana hata hawafahamiani kabisa.

Yawezekana mnaojiona mna afya ndio mna shida za kiafya.
Si vizuri kusemea afya za wengine kama wahusika hawaja weka public afya zao.
 
Miaka ya zamani ukiambiwa mtu ni mbunge, akianza kuongea tu, unasema huyu kweli ni mbunge. Siku hizi mtu yeyote anaweza kuwa mbunge, waziri n.k. Kila la heri kwake.
Huyu apewe mana ni mzuri
 
Mke wa Dokta Abbas , kwasasa sijui Katibu mkuu wa wizara gani
 
Back
Top Bottom