Mkuu wa zamani wa Majeshi ya Ulinzi is NO MORE

R.I.P KYARO!

Alikuwa mkuu wa majeshi TZ je ktk uhai wake alifanya kitu gani cha kipekee chakutufanya tumuenzi kitaifa?
 
RIP General Kyaro!

.............Jambo ninalomkumbuka kwalo ni kwamba inadaiwa alivaa vyeo vyote bila kuruka hadi alipofikia cheo cha Major General (Two Star) ambapo alirushwa cheo kimoja na kuwa General (Four Star)!

Wakati nchi imewekwa kwenye maigizo ya Kanumba .........tunampoteza shujaa wa vita ..,mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama Generali Ernest Mwita Kiaro .....ikiwa ni wiki moja baada ya kumpoteza Mkuu wa jeshi la polisi mstaafu inspecta general Haroun Mahundi.........
Sasa Mungu anataka kutonyesha watanzania watu muhimu kwetu...
 
R.I.P!! Ila kuna kifungu kwenye bibilia kinasema wacha Wafu Wazike Wafu wao!! Kina maana kubwa sana kwa Taifa!! Hii inamaanisha Viongozi na Watendaji wengine watoe Kipaumbele kwa walio baki Hai!! Tuseme wanaohitaji kujikwamua kwenye Lindi la Umaskini!! Sasa inapotokea serekali inakwenda kwenye Msiba Yote!! Tuliobaki hai Tutasaidiwa na nani?
Haya Mzee Kyaro Kafariki naye tena!, naye tukimpa full coverage ni Lini Tutawatumikia wananchi waliobaki Hai? - Tutafakari Hapa!!
 
Rip kamanda. Naamini utakutana na kamanda mwenzako, baba yangu, mpe hi, mwambie huku sisi tunaendelea na mapambano ya kuikomboa nchi kutoka mikononi mwa mafisadi, magamba.

aliyekuwa mkuu wa majeshi 1988 hadi 1994 jenerali ernest mwita kyaro amefariki dunia saa 3:55 asb. Akiwa njiani kuelekea bugando hospitali.

Tweet by itv
 
Wakati nchi imewekwa kwenye maigizo ya Kanumba .........tunampoteza shujaa wa vita ..,mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama Generali Ernest Mwita Kiaro .....ikiwa ni wiki moja baada ya kumpoteza Mkuu wa jeshi la polisi mstaafu inspecta general Haroun Mahundi.........
Sasa Mungu anataka kutonyesha watanzania watu muhimu kwetu...

Gen.(Rtd) Kyaro na Ex-IGP Mahundi ni miongoni mwa nguzo za Uadilifu zilizokuwa zimebakia.
 
R.I.P KYARO!

Alikuwa mkuu wa majeshi TZ je ktk uhai wake alifanya kitu gani cha kipekee chakutufanya tumuenzi kitaifa?

Ungekua na upeo mkubwa ungefahamu..., kitendo cha kuwa mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, hiyo kwanza ni distinction, unadhani ni kazi ndogo kuongoza maelfu ya watumishi(wanajeshi), kuhakikisha vikosi vya mipakani vipo makini through daily briefings(sit-reps) ambazo ni lazma aambiwe nchi ipo salama (land,sea,air) na yeye kum-brief president nchi iko salama, daily, kuhakikisha military intelligence ipo alert na hatari zote na mambo lukuki yanayohitaji maamuzi yake, nadhani ulikua unaongea kwa utani, sidhani kama ulikua serious.
 
JK chance nyingine hii, nenda msibani, tena kalale huko huko kama ulivyofanya kwa shekh yahya, watasema mwisho watachoka, kwani hawajui kuwa wewe ndo mkwe.re pekee mwenye maendeleo....
 
Ungekua na upeo mkubwa ungefahamu..., kitendo cha kuwa mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, hiyo kwanza ni distinction, unadhani ni kazi ndogo kuongoza maelfu ya watumishi(wanajeshi), kuhakikisha vikosi vya mipakani vipo makini through daily briefings(sit-reps) ambazo ni lazma aambiwe nchi ipo salama (land,sea,air) na yeye kum-brief president nchi iko salama, daily, kuhakikisha military intelligence ipo alert na hatari zote na mambo lukuki yanayohitaji maamuzi yake, nadhani ulikua unaongea kwa utani, sidhani kama ulikua serious.

Kazi kweli kweli,
Haya mwenye weredi
Mie niko serious more than you think!
 
na mkuu huyu ni moja ya makamanda hodari walioiletea nchi heshima katika vita ya uganda, na waliopigana kumtoa kaburu mozambique,,, it was strategically important kiulinzi na usalama kuhakikisha kaburu hashiki nchi mozambique..,
 
Nadhani kwa kuonesha utofauti wetu ..wa kimtazamo...na utaifa wetu ...,wana JF tuonyeshe njia ....tuwape umuhimu mkubwa wiki hii yote ...

mkuu wa jeshi la polisi mstaafu harun mahundi
mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama mstaafu Ernest Mwita Kiaro...

Kwa kuwa hawa wanafiki na wapambe wao wanapita humu wataona aibu ....na kujirekebisha.....

1. Tuweke thread stick ya kuwakumbuka mashujaaa waliotukuka ernest mwita kiaro na harun mahundi
2.tuweke picha zao angalau ndogo kwenye home page yetu hadi ijumaaa

MoD Naomba kutoa hoja......kwa minajili ya kunyoosha taifa ....na kurudisha misingi na priorities kadiri inavyotakiwa.....
 
Back
Top Bottom