Huyo mke nae mjinga angeyamaliza na mme wake au kifamilia tu!sasa kumchafua mme wake ndo nini?kina magufuli hadi wana vimada na mke anajua na anaishi na mtoto wa kimada wa magufuli!
Sijafurahia kitendo cha mke wa huyu mkuu wa wilaya!mimi siwezi muabisha namna hii mme wangu!wangeyamaliza kibusara tu!
Huyu mke amekosa hekima. Ameivunja ndoa yake kwa mikono yake. Unless aseme naye alishamchoka huyo mume. Ana uhakika yeye ni msafi kabisa? Kweli inakera lakini haikuwa busara kupanga fumanizi kwa mumewe. Angeweza kumshataki kulingana na imani yao. Sasa ameachishwa kazi. Amepata faida gani.