Goodluck Mshana
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,271
- 1,119
Wapi Kapuya??! Waache kumuonea
Huyo mke nae mjinga angeyamaliza na mme wake au kifamilia tu!sasa kumchafua mme wake ndo nini?kina magufuli hadi wana vimada na mke anajua na anaishi na mtoto wa kimada wa magufuli!
Sijafurahia kitendo cha mke wa huyu mkuu wa wilaya!mimi siwezi muabisha namna hii mme wangu!wangeyamaliza kibusara tu!
Natamani nikuoe Victorie, yaani nimekupenda ghafla. Njoo tujenge familia jamaniii.....Huyo mke nae mjinga angeyamaliza na mme wake au kifamilia tu!sasa kumchafua mme wake ndo nini?kina magufuli hadi wana vimada na mke anajua na anaishi na mtoto wa kimada wa magufuli!
Sijafurahia kitendo cha mke wa huyu mkuu wa wilaya!mimi siwezi muabisha namna hii mme wangu!wangeyamaliza kibusara tu!
Nafikiri kwenye hili wote ni losers. Huyo mwanamke naye alijua kabisa kwamba huyo ni nyumba ndogo ya mumewe, sasa kwanini apige kelele za mwizi?
Je watu wangeingia na kumuua huyo dada si ingelikuwa balaa kubwa kwa wahusika wote?
Yeye angemwandama mumewe na kama mambo yameshindikana basi akaomba talaka.
Nona jinsi kila mtu anavyoijadili hii maada, mwanaume amefanya kosa la kufanya part time. Watu tunaona mkewe kakosea kwa sababu wanaume wanaona wana haki ya kuanya kazi za nje. Jamaa kaharibu, na amejiabisha wala si mkewe aliyemwaibisha. Na Kyela inavyotisha kwa ngoma lakini watu bado hawaachi kazi za nje. Tutakufa kama kuku . sasa huyo mkuu wa wilaya alikuwa anawaeleza nini kyela kuhusu ngono uzembe. tutamalizika sote namna hii.
pweint kabisaSiku za mwisho kila baya litafichuliwa japo dogo namna gani. Hata wewe usijali na kukumbatia maovu usije ishi kwa majuto.
Sali kabla hujasaliwa.