Kumbe baadhi ya sheria za maadili zinafanya kazi Tanzania.
Mkuu wa wilaya ya Kyela kasimamishwa kazi baada ya kufumaniwa na mkewe akiwa na mwanamke mwingine. Inasemekana huyu mkewe anasoma Dar. Alipata habari na kuamua kutinga Kyela kimya kimya. Alipofika na kukuta huyo mwanamke ndani, akapiga kelele za mwizi na kusababaisha vurugu kubwa.
Kwasasa mkuu wa wilaya ya Ileje ndiye kapelekwa Kyela, sijui kama ni kwa muda au la.
Nasikia kachukuliwa hatua kwa kukiuka sheria za maadili kwa viongozi.
Mkuu wa wilaya ya Kyela kasimamishwa kazi baada ya kufumaniwa na mkewe akiwa na mwanamke mwingine. Inasemekana huyu mkewe anasoma Dar. Alipata habari na kuamua kutinga Kyela kimya kimya. Alipofika na kukuta huyo mwanamke ndani, akapiga kelele za mwizi na kusababaisha vurugu kubwa.
Kwasasa mkuu wa wilaya ya Ileje ndiye kapelekwa Kyela, sijui kama ni kwa muda au la.
Nasikia kachukuliwa hatua kwa kukiuka sheria za maadili kwa viongozi.