Umba Tuku
JF-Expert Member
- Feb 4, 2017
- 2,101
- 1,270
We mwache tu, wananchi tunamuona, dawa yake inachemka
MNATUANGUSHA WAZE
We mwache tu, wananchi tunamuona, dawa yake inachemka
Hana lolote huyo usipoteze muda .Naomba kujua hiyo sababu pia...
Natafuta huo muda mpaka sasa sijaupata..Halafu kuna mtu anataka eti tumuombeee
Hapa kuna mawili au matatu. La kwanza, hakuna jamii yoyote ambsyo KWEEELI itakubali kuona chakula shambani kikiteketezwa.Kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Hai ikiongozwa na mkuu wa wilaya hiyo, Gellasius Byakanwa wamevamia shamba la mbunge wa jimbo hilo, Mh. Freeman Mbowe lililoko nyumbani kwake Machame na kuharibu miundo mbinu na mali pamoja na mboga mboga na mimea.
Mh. Mbowe amezungumza na [HASHTAG]#Jahazi[/HASHTAG] moja kwa moja kutoka bungeni mjini Dodoma... "Ni kweli nimezipata hizi habari mkuu wetu wa wilaya akiambatana na askari na waandishi wa habari walikwenda kwenye mradi wetu na kukatakata mimea na kufanya uharibifu mkubwa, taarifa nilizozipata kutoka kwa wafanyakazi waliopo site walisema walipokea barua kutoka NEMC kuwa kilimo tunachokifanya kinaharibu mazingira na hatukustahili kuendelea na kilimo kile, ni jambo la kufedhesha sana tunawahamasisha watanzania wawekeze kwenye kilimo cha kisasa lakini viongozi wa serikali bila kuheshimiana wanakwenda kuharibu, sio kweli kilimo chetu hakiharibu mazingira, familia yetu imelima kwenye shamba hilo kwa zaidi ya miaka 80"
Kama ni kweli,basi hii ni zaidi ufedhuli.halafu mnataka kuwatesa watu wa Mungu kufuna na kuombea serikali hii!!!!!sio mimi!!!!!!!!!!Kwa hiyo amemuibia nani hapo?Akili yako iko kama Panya,badala ya hasira zako kuzupeleka kwa akina JK na BM unaImalizia kwa MTU ambaye hajakuibia ni juhudi zake mwenyewe na familia yake.
Sasa baada ya huo uharibifu wewe ndugu yangu umefaidika na nini??
Roho mbaya haizijengi ndiyo sababu mnakufa masikini.
Nimependa jina lakoTanzagiza
Ni roho mbaya tu na chukiHii sasa ni aibu na laana kuharibu mazao wakati huu wa tatizo chakula. Miaka 19 makampuni yanachimba madini kinyume hamhavamia leo mtanzania mwenzenu kalima mnaenda kuharibu mazao. Hivi hata kama alikosea kwanini busara haikumika kusubiri mpaka avune? Huyo DC ana akili timamu kweli??!!
Wewe ndiye hujaelewa. DC Anamwakilsha raisSasa Magu anahusika vp hapo?
au mimi ndo sijaelewa
Bibie hapo mjinga ni nani?Wajinga Ndiyo Waliwao.
Wataoamini huu upupu, inaweza kuwa u mmoja wao.Bibie hapo mjinga ni nani?
Umeenda kupima ukakuta ni chanzi cha maji? Chanzo cha maji ni mlima KilimanjaroVyanzo vyanzo vyanzo vya maji hupaswi kufanya shughuli yoyote ya Kilimo ndani ya mita 60 sasa yeye kama kisa mpinzani basi asilete ujanja ujanja katika hilo wakati kosa analijua na akategemea kufanya hivyo kuna wenye akili timamu watamsaidia hapana labda machizi wenzake ndo watamtetea
Siwezi kujibizana na wewe kwa sababu nina personal interest katika mradi huo. What I know is more than you knowWataoamini huu upupu, inaweza kuwa u mmoja wao.
Siwezi kujibizana na wewe kwa sababu nina personal interest katika mradi huo. What I know is more than you know
Wewe unajua?Mto Weruweru una hali gani? Mbowe kazuia maji kwenye vyanzo halafu wewe unagonda keyboard? Unajua ni watu wangapi wanategemea mto Weruweru?
Should expect that from the likes of you. Go to hellI don't give a dung.