Mkuu wa Wilaya ya Hai, aamuru shamba la Freeman Mbowe la Mbogamboga liharibiwe, Mbowe alaani!

napenda kuandika histria kwa ufupi mnooo naona mwana sias mwenyw busara ni freeman mboe moja
Alinyanganywa shamba hakusema chochote
Alifutiwa ati miliki ya hotel napo alipiga moyo kondo
Amenyanganywa gari na bunge hajasema chocht
Hiyo ndiyo busara naamin hakuna mwananchi anae mchukis
kawa kiongozi wa kuigwa acha ma ndondocha ya ccm
 
Mtu hatari sana huyu kwa mshikamano wa Taifa letu kutokana na ubaguzi wake, undumilakuwili na chuki za kutisha dhidi ya wapinzani.

Yale yale ya Bomobomoa ya Dar/Kimara vs Mwanza. Chuki iliyojaa pomoni.
 
Badala ya kushirikiana na kusaidiana kujengea uchumi wa nchi viongozi wetu wako mstari wa mbele kurudishana nyuma kimaendeleo. Siasa hizi ndizo zinazopelekea chuki na baadaye vita vya wenyewe kwa wenyewe.

jpm-4-1024x789.jpeg

Rais Magufuli akikagua shamba la dada yake.

mbowe.jpg

Shamba+Photo.jpg

Kiongozi wa upinzani Mh. Freeman Mbowe akikagua shamba lake.

mbowe5.jpg

Aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Gellasius Byakanwa aking'oa miundombinu ya shamba la Mbowe.

_MG_0041.JPG

Askari waking'oa mabomba ya maji kwenye shamba la Mbowe.

Hii ni hali halisi ya watawala na viongozi walio wengi katika bara la Afrika pindi wapatapo madaraka.
 

Attachments

  • FB_IMG_1535345676745.jpg
    FB_IMG_1535345676745.jpg
    70.1 KB · Views: 24
  • mbowe.jpg
    mbowe.jpg
    27.4 KB · Views: 26
Kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Hai ikiongozwa na mkuu wa wilaya hiyo, Gellasius Byakanwa wamevamia shamba la mbunge wa jimbo hilo, Mh. Freeman Mbowe lililoko nyumbani kwake Machame na kuharibu miundo mbinu na mali pamoja na mboga mboga na mimea.

Mh. Mbowe amezungumza na [HASHTAG]#Jahazi[/HASHTAG] moja kwa moja kutoka bungeni mjini Dodoma... "Ni kweli nimezipata hizi habari mkuu wetu wa wilaya akiambatana na askari na waandishi wa habari walikwenda kwenye mradi wetu na kukatakata mimea na kufanya uharibifu mkubwa, taarifa nilizozipata kutoka kwa wafanyakazi waliopo site walisema walipokea barua kutoka NEMC kuwa kilimo tunachokifanya kinaharibu mazingira na hatukustahili kuendelea na kilimo kile, ni jambo la kufedhesha sana tunawahamasisha watanzania wawekeze kwenye kilimo cha kisasa lakini viongozi wa serikali bila kuheshimiana wanakwenda kuharibu, sio kweli kilimo chetu hakiharibu mazingira, familia yetu imelima kwenye shamba hilo kwa zaidi ya miaka 80"



Zaidi, soma:
Mahakama Moshi yaruhusu kilimo kuendelea kwenye shamba la Mbowe
Viongozi wa aina hii hawatakiwi kabisa kushika nafasi za uongozi kwenye nchi hii,sema tu ndio hivyo...!
 
Kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Hai ikiongozwa na mkuu wa wilaya hiyo, Gellasius Byakanwa wamevamia shamba la mbunge wa jimbo hilo, Mh. Freeman Mbowe lililoko nyumbani kwake Machame na kuharibu miundo mbinu na mali pamoja na mboga mboga na mimea.

Mh. Mbowe amezungumza na [HASHTAG]#Jahazi[/HASHTAG] moja kwa moja kutoka bungeni mjini Dodoma... "Ni kweli nimezipata hizi habari mkuu wetu wa wilaya akiambatana na askari na waandishi wa habari walikwenda kwenye mradi wetu na kukatakata mimea na kufanya uharibifu mkubwa, taarifa nilizozipata kutoka kwa wafanyakazi waliopo site walisema walipokea barua kutoka NEMC kuwa kilimo tunachokifanya kinaharibu mazingira na hatukustahili kuendelea na kilimo kile, ni jambo la kufedhesha sana tunawahamasisha watanzania wawekeze kwenye kilimo cha kisasa lakini viongozi wa serikali bila kuheshimiana wanakwenda kuharibu, sio kweli kilimo chetu hakiharibu mazingira, familia yetu imelima kwenye shamba hilo kwa zaidi ya miaka 80"



Zaidi, soma:
Mahakama Moshi yaruhusu kilimo kuendelea kwenye shamba la Mbowe
Huyu ndio balozi mpya ! Hii ni aibu kubwa sana kwa mamlaka ya Uteuzi , Labda tuambiwe Rais anapewa Majina na watu wengine walio juu yake

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Hai ikiongozwa na mkuu wa wilaya hiyo, Gellasius Byakanwa wamevamia shamba la mbunge wa jimbo hilo, Mh. Freeman Mbowe lililoko nyumbani kwake Machame na kuharibu miundo mbinu na mali pamoja na mboga mboga na mimea.

Mh. Mbowe amezungumza na [HASHTAG]#Jahazi[/HASHTAG] moja kwa moja kutoka bungeni mjini Dodoma... "Ni kweli nimezipata hizi habari mkuu wetu wa wilaya akiambatana na askari na waandishi wa habari walikwenda kwenye mradi wetu na kukatakata mimea na kufanya uharibifu mkubwa, taarifa nilizozipata kutoka kwa wafanyakazi waliopo site walisema walipokea barua kutoka NEMC kuwa kilimo tunachokifanya kinaharibu mazingira na hatukustahili kuendelea na kilimo kile, ni jambo la kufedhesha sana tunawahamasisha watanzania wawekeze kwenye kilimo cha kisasa lakini viongozi wa serikali bila kuheshimiana wanakwenda kuharibu, sio kweli kilimo chetu hakiharibu mazingira, familia yetu imelima kwenye shamba hilo kwa zaidi ya miaka 80"



Zaidi, soma:
Mahakama Moshi yaruhusu kilimo kuendelea kwenye shamba la Mbowe
Kazi kweli kweli
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom