upcoming tycoon
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 353
- 468
Hata mpira haujaanza
Mwenye wilaya yake kashasema tabu ipo wapi.
Kwenye zile mahakama zetu ambazo hakimu aliyemhukumu Sugu alipewa Ujaji fasta tu baada ya hukumu ile na yule wa kesi ya Lema nae akalamba shavu chap chap?Kujua hayo hayasaidii. Chukueni hatua za kisheria kwa mambo yenye ushahidi. Kwanini mnaonaga kulalamika tu ndio suluhisho?
Wampeleke mahakama ipi? Mwenye mahakama ni nani na aliyewatuma kungia bendera ni nani? Kama mahaka zingetenda haki vingozi wa vyama vya upinzani wasingekuwa bado na kesi, zingeshaisha.Hivi hawa vipi? Lakini tatizo ni Chadema pia kulea huu ujinga. Atoe hizo bendera pamoja na ushahidi wa amri yake wampeleke mahakamani. Waache kulialia tu
Yaani hatua uliyo chukua ndiyo hiyo! Kuuliza hilo swali na inaishia hapo basi!
Mahakama ipi! Labda waanzishe yao.Hivi hawa vipi? Lakini tatizo ni Chadema pia kulea huu ujinga. Atoe hizo bendera pamoja na ushahidi wa amri yake wampeleke mahakamani. Waache kulialia tu
Mahakama ipi?Kama katamka hayo na ushahidi upo mpelekeni mahakamani, ndio dawa ya wavunja sheria. Acheni kulalamika tu
Tupunguze ushamba na ujinga. Hakuna mtu mwenye wilaya wala mkoa hapa Tanzania. Hata wale wapumbavu waliokuwa wanasema "mkoa wangu wa Dar es Salaam blah blah blah" siku hizi wameacha. Eti wilaya yake! Since when?Mwenye wilaya yake kashasema tabu ipo wapi.
Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya?Mwenye wilaya yake kashasema tabu ipo wapi.
Ashitakiwe, katiba haimruhusu.Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga, Dk Halfan Haule ameagiza kung'olewa bendera zote za Chadema katika mitaa, vijiji na vitongoji vyote katika mji wa Sumbawanga mkoani Rukwa... Chanzo Mwananchi
Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga, Dk Halfan Haule ameagiza kung'olewa bendera zote za Chadema katika mitaa, vijiji na vitongoji vyote katika mji wa Sumbawanga mkoani Rukwa... Chanzo Mwananchi
Hakika inashangaza sana kuona Mkuu wa Wilaya ambaye ni mlinzi wa amani anaagiza kuondolewa bendera za Chadema ktk Wilaya anayoitawala. Najiuliza baadhi ya maswali
1 Je Chadema sio chama halali
2.Hakiruhusiwi kuwa na bendera
3.Sheria inasemaje juu ya bendera za vyama
4 Je wafuasi wa Chadema wakiamua nao kushusha bendera za CCM nini kitatokea
5 Serikali inasemaje juu ya tatizo hilo.
Nashauri kama Rais anasema Watanzania tusubaguane kwa Itikadi vipi huyo Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga?
Ndoto za. MchanaMabeberu weusi hatimae wataondoka kwa nguvu ya umma