Mkuu wa wilaya Ruvuma afumaniwa akimega

Huu ni ukosefu wa nidhamu kama kiongozi na pia ni uzembe wa Mkuu wa nchi anaechagua hao wakuu wa Wilaya, maana alishawahi kuchaguliwa mkuu wa wilaya mwenye kesi mahakamani mpaka hapo mkuu wa nchi alipopata malalamiko kwenye vyombo vya habari
hapo awali kulikuwa na kamsasa kadogo especially kutoka pale chuo cha Diplomasia kurasini, kwa watu wakubwa kama hao walikuwa wanawekwa bayana kwamba ni wapi wanapostaili kwenda kunywa na kujivinjali, ni aina gani ya nguo wavae na urafiki wa aina gani anatakiwa kuwa nao na watu anaofanya nai kazi (sio kumega),
lakini saa wanaokotana tu na kupeana madaraka, mtu kama huyo hafai hata kidogo
 
Hivi alifumaniwa na mke wa mtu/mchumba au binti tu??? Katika hali yoyote ile ni aibu hata kama wengine mtasema ohh mara kwani kabaka?? Suala hapa ni nidhamu na dhamana uliyopewa tena na Rais ili kumuwakilisha katika mambo ya kisiasa katika Wilaya husika. Hata hivyo, hili ni tatizo kubwa kwa viongozi wengi waandamizi almost private na public. Kuna sababu ya kila hali kwa serikali kuweka wazi sheria ambayo itabana uadilifu kwa uongozi wa umma. Hii inafedhehesha sana!!!
 
cha ajabu ni kipi? Kaiba mke wa mtu? Kabaka?huyu demu ni under age? Mwanafunzi? Jibu ni hapana sasa cha ajabu ni kipi?

anafanya mapenzi pasipo ndoa...zinaa...mwezi mtukufu...kafiri huyo..hafai kuongoza watu ni nuksi.

Hata akija kufanya kampeni za kupunguza maambukizi ya ukimwi utamwelewa mtu wa jinsi hii..?

Kwanza kwa aibu ya jinsi hiyo asinge kwenda toa taarifa Polisi, Simu,laki 2 pete ya Gold ndio vikutangazie upuuzi wa jinsi hiyo dunia nzima ?

Utakwenda waambia wamarekani wanaokuchangia fedha kupambana na Ukimwi kwamba wewe ni kiongozi mfano wa kupambana na Ukimwi ..kweli watakuelewa ???
Fuki him !!!!!!!
 
Last edited:
anafanya mapenzi pasipo ndoa...zinaa...mwezi mtukufu...kafiri huyo..hafai kuongoza watu ni nuksi.
Unajua dhehebu lake au unaandika tu,mwezi mtukufu kwa wanaoujua kafiri kwa waliokafirika,fanya utafiti and then andika kuna thread nyingi za kuchangia naona hapa si mahala pako.
 
anafanya mapenzi pasipo ndoa...zinaa...mwezi mtukufu...kafiri huyo..hafai kuongoza watu ni nuksi.

Hata akija kufanya kampeni za kupunguza maambukizi ya ukimwi utamwelewa mtu wa jinsi hii..?

Kwanza kwa aibu ya jinsi hiyo asinge kwenda toa taarifa Polisi, Simu,laki 2 pete ya Gold ndio vikutangazie upuuzi wa jinsi hiyo dunia nzima ?

Utakwenda waambia wamarekani wanaokuchangia fedha kupambana na Ukimwi kwamba wewe ni kiongozi mfano wa kupambana na Ukimwi ..kweli watakuelewa ???
Je nchi za kiarabu waliofunga na wanaujua ukafiri mwezi huu mtukufu na bado wana vita huko kwao kwa nini wasiache kupigana vita mwezi huu mtukufu na baada ya hapo waendekee na vita? kwa hiyo hao si makafiri?
 
Naona Madaso unakula cha juu kwa huyu mkuu wa wilaya si bure.
 
Duh Kama ni kweli basi au ni Mke wa mtu.. ni hatari sana kuona kama Mkuu wa Wilaya anafanya mambo kama haya ya ajabu[/QUOTE]

Sasa jambo la ajabu alilofanya ni nini, kwani wewe haupigi mzigo, Mbona kumega au kumegwa ni mambo ya kawaida.
 
Hii ni aibu. Nimesikia maelezo yake asubuhi ya leo anasema eti ni kitu kimepangwa na mpenzi wake wa zamani ambaye amemuacha na pia ni mwandishi. Huyu mkuu wa wilaya hafai. Eti alikuwa kapunzika? mchana?

JK MFUTE KAZI!

Huu ni utovu wa nidhamu kwa kiwango chochote kile na JK ana kila sababu kumfukuza kazi:
1. Anaiba muda wa mwajiri kufanya mambo binafsi
2. Huenda ametumia nyenzo za serikali kama gari aliloendea, dereva aliyempeleka huko, pesa aliyotumia n.k.
3. Haya ni matumizi mabaya ya madaraka
4. Anafundisha nini jamii inayomzunguka?
 
Huu ni utovu wa nidhamu kwa kiwango chochote kile na JK ana kila sababu kumfukuza kazi:
1. Anaiba muda wa mwajiri kufanya mambo binafsi
2. Huenda ametumia nyenzo za serikali kama gari aliloendea, dereva aliyempeleka huko, pesa aliyotumia n.k.
3. Haya ni matumizi mabaya ya madaraka
4. Anafundisha nini jamii inayomzunguka?

Mkuu umelonga hapo hapo unaona kunwa watu wanamtetea hivi fikiria hili swala lingekuwa nchi za wenzetu ngozi nyeupe ingekuwaje? Dah Miafrika ndivyo ilivyo.
 
Mkuu umelonga hapo hapo unaona kunwa watu wanamtetea hivi fikiria hili swala lingekuwa nchi za wenzetu ngozi nyeupe ingekuwaje? Dah Miafrika ndivyo ilivyo.

Hivi mkuu wa wilaya ndio ana mamlaka ya kufundisha ndoa pia? Atakubalika tena huyo na jamiii kwa shughuli hiyo kweli? Maana anaweza akakumegea mkeo mtu wa hivi.
 
Kwani kuzini ni kosa kiserikali. Huyo hana kosa lolote, wengine wasipozini kazi haziendi. Kama ni mchapa kazi fresh kwanini afukuzwe?
 
Eti kuna mtu ananiuliza hapa kuwa; mwizi anaweza kumchagua mwizi mwenzie? kama jibu ni ndio basi labda hata aliyemchagua na yeye ni.......sio hivyo! kwa hio kakamega mchana kweupeee baada ya ramadhani kuisha? hahaaa, huyu kiranja alikua na ukame ajabu! Hongera zake
 
Back
Top Bottom