Mkuu wa wilaya Ruvuma afumaniwa akimega

Katika hali isiyo ya kawaida mkuu wa wilaya moja mkoani Ruvuma amefumaniwa akimmega {akivunja amri ya 6 na} paparazi jina la mkuu wa wilaya ni Juma Madaha mkuu wa wilaya ya Tunduru. Hii imetokea jana mchana kweupee wananchi wanao kemea tabia mbaya kama hizi. Kwa mtu anae taka more dataz piga cmu kwa viongozi wa serikali mkoa wa Ruvuma watakuthibitishia.

NB; Huyu mkuu wa wilaya anapingana na zoezi la mwajiri wake rais JK kwa kuto piga vita gonjwa hatari la ukimwi hili. Tunashauri rais amsimamishe kazi mara moja na hatua za kinidhamu zichukuliwe.
Na mwezi mtukufu huu jamaa anatenda dhambi kweupe kaacha ofisi anaenda kumega.



Ila jamaa amefaidi sana. Sasa kama hana kazi ya kufanya ofisini kwake afanyeje? acha kumwonea wivu!
 
Eti kuna mtu ananiuliza hapa kuwa; mwizi anaweza kumchagua mwizi mwenzie? kama jibu ni ndio basi labda hata aliyemchagua na yeye ni.......sio hivyo! kwa hio kakamega mchana kweupeee baada ya ramadhani kuisha? hahaaa, huyu kiranja alikua na ukame ajabu! Hongera zake

Thread ya mwaka 2009 hiyo Mkuu.
 
Ukweli unauma, naona nimekukaba koo.Ukweli unabaki pale pale huyu jamaa ni kioo cha jamii alishakuwa mkuu wa wilaya muda mrefu amefanya mambo mengi sana waulize wanaomfahamu. Hana mchezo na kazi ni mzuri wa kuwawajibisha watendaji wabovu. Alipokuwa wilaya ya Magu aliwahi kupongezwa kwa utendaji kazi mzuri matumizi mazuri ya pesa ya Halmashauri.

Hili la kuwa kioo cha jamii inabidi ufafanue kidogo ni jamii gani unaiongelea hapa. Kama ya wazinzi sawa nakubaliana na wewe. Kuhusu kuchapa kazi naona kweli ni mchapa kazi na hachagui kazi kwani hata hizi za kimahusiano zinazofanyika vyumbani usiku nazo yumo.
 
Kwa vile inasemekana kuwa hii thread ni ya miaka 2 iliyopita yeyote atakaye changia ata kama amejisajiri jana kwenye JF ataonekana ni mkongwe, kazi kwenu sasa.
 
Hee jamani Msinichekeshe wajemenikweli za Mwizi Arobaini huyoo baba alikuwa Tamisemi Dodoma.akawa anaishi nyumba moja kule Uzunguni ana mke na watoto kibao.Jina jingine anaitwa Baba Asha.Kwa uhuni Hajambo kusema ukweli Mungu amuokoe tu.
Aliwahi kukatongoza kabinti flani jirani yake kakasema acha mkewe huyoo mama Asha akafate kale ka binti na kukuchambuaaa kenyewe kakasema yeye ndo ananisumbua kila siku.Mmh tukakaona kabinti cha watu kahuni kumbee lile libaba ndo chanzo.
 
Katika hali isiyo ya kawaida mkuu wa wilaya moja mkoani Ruvuma amefumaniwa akimmega {akivunja amri ya 6 na} paparazi jina la mkuu wa wilaya ni Juma Madaha mkuu wa wilaya ya Tunduru. Hii imetokea jana mchana kweupee wananchi wanao kemea tabia mbaya kama hizi. Kwa mtu anae taka more dataz piga cmu kwa viongozi wa serikali mkoa wa Ruvuma watakuthibitishia.

NB; Huyu mkuu wa wilaya anapingana na zoezi la mwajiri wake rais JK kwa kuto piga vita gonjwa hatari la ukimwi hili. Tunashauri rais amsimamishe kazi mara moja na hatua za kinidhamu zichukuliwe.
Na mwezi mtukufu huu jamaa anatenda dhambi kweupe kaacha ofisi anaenda kumega.

Sioni tofauti na mbeya mwingine yeyote kwa hili
 
Anatafuta exeptinal story. Ila mbuna ni mwislam si aoe mke mwingine kuliko kufumaniwa
 
Back
Top Bottom