Kilembwe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 2,056
- 1,598
Habri hizi zimethibitishwa pia na kamanda wa polisi wa mkoa wa Ruvuma. Halafu eti bila ya aibu Madaha analalamika jamaa wamekwala simu, na pesa kiasi cha shilingi za kitanzania laki mbili! Bongo bana. Haya JK Tanzania Bila Ukimwi..... Sijui JK hakutoa semina elekezi juu ya hili!