Mkuu wa Mkoa wa Iringa hajui Sheria

Mkuu wa Mkoa wa Iringa hajui Sheria

Tatizo hii bongo haiitaji hayo yote ni kupiga kazi tu
Ili uonekane unapiga kazi kamata Opposition weka ndani tishia raia mimi ni mtu hatari sana. Sasa hapa nashindwa kumwelewa yeye ni mtu hatari sana cjui ni jambazi au amewahi kuwa kichaa. Cjamwelewa
 
Ili uonekane unapiga kazi kamata Opposition weka ndani tishia raia mimi ni mtu hatari sana. Sasa hapa nashindwa kumwelewa yeye ni mtu hatari sana cjui ni jambazi au amewahi kuwa kichaa. Cjamwelewa
Ni hatari kwa mafisadi na wanaoonea wananchi hovyo na hao wahuni chadema
 
naona siku hizi magufuli anawapa warembo ambao hata elimu ya leadership hawana vyeo kaa wakuu wa wilaya, aki magufuli nnashangaa kaa hata yeye binafsi kaa aliona ndani ya darasa
 
Niliiona hiyo video, kweli Hapi hajielewi ukizingatia bado ni kijana, kumfokea mama wa watu hata kama alikuwa na kosa, alimnyima nafasi ya kujieleza, alimkandamiza na kusikiliza upande mmoja tu. Mbaya zaidi ni kuamua kumuweka ndani. Alikosea sana, hana sifa za kiongozi wa watu
 
Bora aseme bodi siyo alivyotamka[emoji16][emoji16][emoji16]
Sasa alichotamka yeye ni lugha ambayo inatumika na ni ya busara kabisa. Wewe ndo naona hujui kutumia tafsida. Lakini kwa sababu nia yako ilikua ni kumhukumu, lakini Mungu ameamua kudhihirisha dhamira yako, basi tuliache hivyo. Kwa faida yako usipende kumnyooshea mwenzako kidole eti atumie tafsida, ona sasa ulichoandika
 
Sasa alichotamka yeye ni lugha ambayo inatumika na ni ya busara kabisa. Wewe ndo naona hujui kutumia tafsida. Lakini kwa sababu nia yako ilikua ni kumhukumu, lakini Mungu ameamua kudhihirisha dhamira yako, basi tuliache hivyo. Kwa faida yako usipende kumnyooshea mwenzako kidole eti atumie tafsida, ona sasa ulichoandika
Kweli nimekoma mkuu,kiherehere kimeniponza
 
Niliiona hiyo video, kweli Hapi hajielewi ukizingatia bado ni kijana, kumfokea mama wa watu hata kama alikuwa na kosa, alimnyima nafasi ya kujieleza, alimkandamiza na kusikiliza upande mmoja tu. Mbaya zaidi ni kuamua kumuweka ndani. Alikosea sana, hana sifa za kiongozi wa watu
Kiongozi huruhusiwi kutishia viongozi waliochini yako na hata raia unaowaongoza
 
Ana mshahara mnono,posho nono
Mshahara mnono UPI?? Tutakaa kusifia kuwa wanapesa wakati ni pesa zetu badala ya kuzielekeza kwenye maendeleo yanapelekwa kwenye matumizi ya viongozi. Ndio maana serikali matumizi yanachukua mabilion kuliko yanayopelekwa kwenye maendeleo
 
Mshahara mnono UPI?? Tutakaa kusifia kuwa wanapesa wakati ni pesa zetu badala ya kuzielekeza kwenye maendeleo yanapelekwa kwenye matumizi ya viongozi. Ndio maana serikali matumizi yanachukua mabilion kuliko yanayopelekwa kwenye maendeleo
Kwani wewe ni CAG!???, Ofisi za TAKUKURU huzijui!??
 
Back
Top Bottom