chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,221
- 20,983
Naona fursa kwa serikali ya mkoa wa DSM, lakini wao hawaioni.
Hizo stendi binafsi zilipiwe tozo, hata kama milioni kadhaa kwa mwaka, na pia mabasi yote ya kampuni husika yalipie ushuru wa stendi ya Mbezi Magufuli, na wakitaka wanalipa in advance.
Mchezo umekwisha.
Ukiwa na stendi binafsi kumi, una karibu milioni 100 kwa mwaka
Hizo stendi binafsi zilipiwe tozo, hata kama milioni kadhaa kwa mwaka, na pia mabasi yote ya kampuni husika yalipie ushuru wa stendi ya Mbezi Magufuli, na wakitaka wanalipa in advance.
Mchezo umekwisha.
Ukiwa na stendi binafsi kumi, una karibu milioni 100 kwa mwaka