Well said.Ndugu,
And this is exactly ambacho Magufuli anakipigia kelele kila siku ila watu wanalalamika eti uchumi umedorora. Uchumi upi huo?? Sasa kweli kama mtu aliyekuwa anapata tenda ya kushona sare za ATC Hong Kong.....leo hii si lazima alie?
It is really painful lakini at some point what Magufuli is doing was bound to happen. Si kwamba hiki kibano cha Magufuli wengine hakitufikii. We are all enduring this pain. Lakini what is the way forward?
Kuna walioona mbali. Tukaona hela ya umma ni haki ya elites! Mtu unaanzisha biashara ukiwa unalenga pesa ya umma (kupiga). Lazima biashara za namna hiyo zife kifo cha mende! maana leo unaambiwa lipa kodi (kitu ambacho hukutegemea kwa sababu shareholder wa kampuni alikuwa ni waziri Fulani)...leo unaambiwa mahesabu yakaguliwe na upeleke returns TRA....hukuwahi kuwaza hilo..I mean tumeishi kwa ujanja ujanja mno. Biashara nyingi Tanzania zilishamiri based on false assumptions. Very few and genuine business will survive in this period. And that will be the beginning of our journey.
Tuanze upya. Tujifunze kulipa kodi. Kuheshimu mali za umma. Ukipewa gari ya serikali kwa cheo chako. Uiogope kuipeleka kwenye harusi au kuibebea mkaa simply because you had a trip mkoani. Ukipewa madaraka siyo passport ya kujitajirisha. Ukipewa dhamana ya kufanya manunuzi..unataka 50% ya pesa iingie mfukoni mwako. How can we move on like this? Pathetic!
Success starts with discipline. Tuanzie hapo.
yu nailed fo sure truth b told though tough to endureNdugu,
And this is exactly ambacho Magufuli anakipigia kelele kila siku ila watu wanalalamika eti uchumi umedorora. Uchumi upi huo?? Sasa kweli kama mtu aliyekuwa anapata tenda ya kushona sare za ATC Hong Kong.....leo hii si lazima alie?
It is really painful lakini at some point what Magufuli is doing was bound to happen. Si kwamba hiki kibano cha Magufuli wengine hakitufikii. We are all enduring this pain. Lakini what is the way forward?
Kuna walioona mbali. Tukaona hela ya umma ni haki ya elites! Mtu unaanzisha biashara ukiwa unalenga pesa ya umma (kupiga). Lazima biashara za namna hiyo zife kifo cha mende! maana leo unaambiwa lipa kodi (kitu ambacho hukutegemea kwa sababu shareholder wa kampuni alikuwa ni waziri Fulani)...leo unaambiwa mahesabu yakaguliwe na upeleke returns TRA....hukuwahi kuwaza hilo..I mean tumeishi kwa ujanja ujanja mno. Biashara nyingi Tanzania zilishamiri based on false assumptions. Very few and genuine business will survive in this period. And that will be the beginning of our journey.
Tuanze upya. Tujifunze kulipa kodi. Kuheshimu mali za umma. Ukipewa gari ya serikali kwa cheo chako. Uiogope kuipeleka kwenye harusi au kuibebea mkaa simply because you had a trip mkoani. Ukipewa madaraka siyo passport ya kujitajirisha. Ukipewa dhamana ya kufanya manunuzi..unataka 50% ya pesa iingie mfukoni mwako. How can we move on like this? Pathetic!
Success starts with discipline. Tuanzie hapo.
Mkuu hao Viumbe hawaguswagi kabisa Kabisa Kabisa Kabisa.
By the way,CGP alishastaafu since Mwaka jana akapewa one year extensio n
Una uhakika na unachokisema Mkuu!! CGP Geneya CGP Mangara CGP Banzi CGP Nanyaro hawa walikuwa wachaga???huwa sielewi kwanini jeshi la magereza tangu lianze linaongozwa na wachaga sijajua nikwasababu gani sijui sijui nikwanini yani tangu lianzishwe.
Pasi kusahau na maximum security Wale KMKGMila huyu mzee Minja anaonekana mpigaji maana kule Salasala kaporomosha majumba afu anaishi kama mfalme
Pogba amaeibukia magereza tena
2 PolisiYataje.1= Magereza
2=?
3=?
CGP Jumanne Mangara ni kutoka Pwani, CGP Banzi kutoka Morogoro etcUna uhakika na unachokisema Mkuu!! CGP Geneya CGP Mangara CGP Banzi CGP Nanyaro hawa walikuwa wachaga???
Dah...umeandika nini sasa?Na vilevile zikichangwa pesa za wahanga wa matetemeko zipeleke zinakohusika, usizitumie unavyotaka wewe. Pia unaponunua mali ya umma, kama kivuko cha Bi-Moyo usiende kununua scraper ambayo mwisho wa siku utaipaki. La mwisho usiuze nyumba za serikali kwa matakwa yako mwenyewe, kuuzia ndugu zako.
Huu ni utaratibu mbovu uliozoeleka miaka yote, na matamko ya hadharani kamwe hayataweza kuyamaliza.
yetu macho ngoja tuoneWana JF,
Kutokana na safari ya kikazi alioifanya Mh Rais katika magereza jana Ukonga na kubaini yafuatayo;
1. Askari magereza kununua sare za jeshi lao kwa watu binafsi
2. Jeshi la magereza kushirikisha watu binafsi katika ujenzi, hali hii ilimchukiza Mh Rais.
Aidha kutokana na machukizo hayo ni dhahiri Mh Rais atatengua uteuzi wa Mkuu wa jeshi la Magereza nchini Kamishna Jenerali John Casmir Minja.
Duh aisee kwahiyo unadhani sare za jeshi zinashonwa kwa style hii kama sare za kitchen party,?Askar hawanunui sare kwny Maduka Binafsi bali wananunua vitambaa kwny Maduka binafsi na wanaenda kujishonea binafsi sasa uamuzi wa Rais kusema Maduka binafsi yakabidhi Mara moja hizo sare maana yake ni kuwapora Vitambaa hivyo, Kisheria ni kosa kuvaa sare za Majeshi yetu lakin si kosa wala dhambi kuvaa shati au Suruali inayofanana rangi na sare za Majeshi yetu isipokuwa sare za Jwtz, sasa tangazo Hilo kwa lugha nyingine tumepiga Marufuku kuuza vitambaa vya aina hiyo so badala ya kuwapora Wenye Maduka binafsi itumike busara wavinunue ili kupunguza hasara kwa Wafanyabiashara wetu ambao kila kukicha Hali inazidi kwenda halijojo!
Duka la Khimji pale Mnazi mmoja lilifunguliwa Miaka mingi sana kabla ya Watoa Amri hawajaja mjini anaweza kuwa Mhanga wa Kwanza!
Huyo kapona
Kama angekuwa wa kutumbuliwa siunaumjua juma? huwa hacheleweshi
ahahaha kumbe hilo hatumbuliwi; nilifikiri alikutwa na wafungwa hewaWana JF,
Kutokana na safari ya kikazi alioifanya Mh Rais katika magereza jana Ukonga na kubaini yafuatayo;
1. Askari magereza kununua sare za jeshi lao kwa watu binafsi
2. Jeshi la magereza kushirikisha watu binafsi katika ujenzi, hali hii ilimchukiza Mh Rais.
Aidha kutokana na machukizo hayo ni dhahiri Mh Rais atatengua uteuzi wa Mkuu wa jeshi la Magereza nchini Kamishna Jenerali John Casmir Minja.
Wana JF,
Kutokana na safari ya kikazi alioifanya Mh Rais katika magereza jana Ukonga na kubaini yafuatayo;
1. Askari magereza kununua sare za jeshi lao kwa watu binafsi
2. Jeshi la magereza kushirikisha watu binafsi katika ujenzi, hali hii ilimchukiza Mh Rais.
Aidha kutokana na machukizo hayo ni dhahiri Mh Rais atatengua uteuzi wa Mkuu wa jeshi la Magereza nchini Kamishna Jenerali John Casmir Minja.
Sio lazima vyote tujue mkuu, yapo yanafanyika ila sababu yanawahusu wenyewe, yana malizwa kwa wenyewe.Sio kwenye kitengo nyeti chenye magwanda kama hicho, huko akienda hubeba na akili yake ya ziada na hafanyi bila ushauri wa mkuu wa majeshi.
Umesikia kuna mtu katumbuliwa JWTZ kwa kipindi hiki cha mwaka mmoja. Au unataka kusema huko ni kusafi sana.
Kutumbua mtu maeneo hayo si rahisi hivyoooo kama unavyofikiria. Hata Makonda akienda huko ni kuwamwagia sifa tu.
Nchi inawenyewe hii.
hilo jina la babu yakeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Wana JF,
Kutokana na safari ya kikazi alioifanya Mh Rais katika magereza jana Ukonga na kubaini yafuatayo;
1. Askari magereza kununua sare za jeshi lao kwa watu binafsi
2. Jeshi la magereza kushirikisha watu binafsi katika ujenzi, hali hii ilimchukiza Mh Rais.
Aidha kutokana na machukizo hayo ni dhahiri Mh Rais atatengua uteuzi wa Mkuu wa jeshi la Magereza nchini Kamishna Jenerali John Casmir Minja.