Tetesi: Mkuu wa jeshi la Magereza nchini huenda akatumbuliwa

Ndugu,

And this is exactly ambacho Magufuli anakipigia kelele kila siku ila watu wanalalamika eti uchumi umedorora. Uchumi upi huo?? Sasa kweli kama mtu aliyekuwa anapata tenda ya kushona sare za ATC Hong Kong.....leo hii si lazima alie?

It is really painful lakini at some point what Magufuli is doing was bound to happen. Si kwamba hiki kibano cha Magufuli wengine hakitufikii. We are all enduring this pain. Lakini what is the way forward?

Kuna walioona mbali. Tukaona hela ya umma ni haki ya elites! Mtu unaanzisha biashara ukiwa unalenga pesa ya umma (kupiga). Lazima biashara za namna hiyo zife kifo cha mende! maana leo unaambiwa lipa kodi (kitu ambacho hukutegemea kwa sababu shareholder wa kampuni alikuwa ni waziri Fulani)...leo unaambiwa mahesabu yakaguliwe na upeleke returns TRA....hukuwahi kuwaza hilo..I mean tumeishi kwa ujanja ujanja mno. Biashara nyingi Tanzania zilishamiri based on false assumptions. Very few and genuine business will survive in this period. And that will be the beginning of our journey.

Tuanze upya. Tujifunze kulipa kodi. Kuheshimu mali za umma. Ukipewa gari ya serikali kwa cheo chako. Uiogope kuipeleka kwenye harusi au kuibebea mkaa simply because you had a trip mkoani. Ukipewa madaraka siyo passport ya kujitajirisha. Ukipewa dhamana ya kufanya manunuzi..unataka 50% ya pesa iingie mfukoni mwako. How can we move on like this? Pathetic!

Success starts with discipline. Tuanzie hapo.
Well said.
 
Ndugu,

And this is exactly ambacho Magufuli anakipigia kelele kila siku ila watu wanalalamika eti uchumi umedorora. Uchumi upi huo?? Sasa kweli kama mtu aliyekuwa anapata tenda ya kushona sare za ATC Hong Kong.....leo hii si lazima alie?

It is really painful lakini at some point what Magufuli is doing was bound to happen. Si kwamba hiki kibano cha Magufuli wengine hakitufikii. We are all enduring this pain. Lakini what is the way forward?

Kuna walioona mbali. Tukaona hela ya umma ni haki ya elites! Mtu unaanzisha biashara ukiwa unalenga pesa ya umma (kupiga). Lazima biashara za namna hiyo zife kifo cha mende! maana leo unaambiwa lipa kodi (kitu ambacho hukutegemea kwa sababu shareholder wa kampuni alikuwa ni waziri Fulani)...leo unaambiwa mahesabu yakaguliwe na upeleke returns TRA....hukuwahi kuwaza hilo..I mean tumeishi kwa ujanja ujanja mno. Biashara nyingi Tanzania zilishamiri based on false assumptions. Very few and genuine business will survive in this period. And that will be the beginning of our journey.

Tuanze upya. Tujifunze kulipa kodi. Kuheshimu mali za umma. Ukipewa gari ya serikali kwa cheo chako. Uiogope kuipeleka kwenye harusi au kuibebea mkaa simply because you had a trip mkoani. Ukipewa madaraka siyo passport ya kujitajirisha. Ukipewa dhamana ya kufanya manunuzi..unataka 50% ya pesa iingie mfukoni mwako. How can we move on like this? Pathetic!

Success starts with discipline. Tuanzie hapo.
yu nailed fo sure truth b told though tough to endure
 
Mkuu hao Viumbe hawaguswagi kabisa Kabisa Kabisa Kabisa.
By the way,CGP alishastaafu since Mwaka jana akapewa one year extensio n

Untouchable ni CDF na yule wa kuleee DG...mwisho S, lakini hao majeshi madogo aah wanaguswa tu kama mbwai mbwai mbwai tu ametumia madaraka yake katika jeshi la magereza vibaya
 
huwa sielewi kwanini jeshi la magereza tangu lianze linaongozwa na wachaga sijajua nikwasababu gani sijui sijui nikwanini yani tangu lianzishwe.
Una uhakika na unachokisema Mkuu!! CGP Geneya CGP Mangara CGP Banzi CGP Nanyaro hawa walikuwa wachaga???
 
Ngoja watumbuliwe tu kwani hao viongozi wa magereza wanajiona kama jeshi la wananchi kamili. Hujichukulia madaraka. Kumbuka walivyotoa amri kwa wafungwa na askari magereza kuwapiga na kuwatoa kwa nguvu wafanyakazi wa ndege za serikali ns atcl wakiwemo marubani na wahandisi. Hii kashfa ilihusisha kupigwa waandishi wa habari waliokuwa katika eneo la tukio akiwemo mwandishi Bukuku. Laana hii itamtafuna Banzi na Omari mapuri kwa kusababisha baadhi ya marubani kupigwa na kupata athari iliyopelekes kifo cha kapteni Aboud Twalib
 
Na vilevile zikichangwa pesa za wahanga wa matetemeko zipeleke zinakohusika, usizitumie unavyotaka wewe. Pia unaponunua mali ya umma, kama kivuko cha Bi-Moyo usiende kununua scraper ambayo mwisho wa siku utaipaki. La mwisho usiuze nyumba za serikali kwa matakwa yako mwenyewe, kuuzia ndugu zako.

Huu ni utaratibu mbovu uliozoeleka miaka yote, na matamko ya hadharani kamwe hayataweza kuyamaliza.
Dah...umeandika nini sasa?
 
Wana JF,

Kutokana na safari ya kikazi alioifanya Mh Rais katika magereza jana Ukonga na kubaini yafuatayo;

1. Askari magereza kununua sare za jeshi lao kwa watu binafsi
2. Jeshi la magereza kushirikisha watu binafsi katika ujenzi, hali hii ilimchukiza Mh Rais.

Aidha kutokana na machukizo hayo ni dhahiri Mh Rais atatengua uteuzi wa Mkuu wa jeshi la Magereza nchini Kamishna Jenerali John Casmir Minja.
yetu macho ngoja tuone
 
Askar hawanunui sare kwny Maduka Binafsi bali wananunua vitambaa kwny Maduka binafsi na wanaenda kujishonea binafsi sasa uamuzi wa Rais kusema Maduka binafsi yakabidhi Mara moja hizo sare maana yake ni kuwapora Vitambaa hivyo, Kisheria ni kosa kuvaa sare za Majeshi yetu lakin si kosa wala dhambi kuvaa shati au Suruali inayofanana rangi na sare za Majeshi yetu isipokuwa sare za Jwtz, sasa tangazo Hilo kwa lugha nyingine tumepiga Marufuku kuuza vitambaa vya aina hiyo so badala ya kuwapora Wenye Maduka binafsi itumike busara wavinunue ili kupunguza hasara kwa Wafanyabiashara wetu ambao kila kukicha Hali inazidi kwenda halijojo!

Duka la Khimji pale Mnazi mmoja lilifunguliwa Miaka mingi sana kabla ya Watoa Amri hawajaja mjini anaweza kuwa Mhanga wa Kwanza!
Duh aisee kwahiyo unadhani sare za jeshi zinashonwa kwa style hii kama sare za kitchen party,?
 
Huyo kapona
Kama angekuwa wa kutumbuliwa siunaumjua juma? huwa hacheleweshi

Sio kwenye kitengo nyeti chenye magwanda kama hicho, huko akienda hubeba na akili yake ya ziada na hafanyi bila ushauri wa mkuu wa majeshi.

Umesikia kuna mtu katumbuliwa JWTZ kwa kipindi hiki cha mwaka mmoja. Au unataka kusema huko ni kusafi sana.

Kutumbua mtu maeneo hayo si rahisi hivyoooo kama unavyofikiria. Hata Makonda akienda huko ni kuwamwagia sifa tu.

Nchi inawenyewe hii.
 
Wana JF,

Kutokana na safari ya kikazi alioifanya Mh Rais katika magereza jana Ukonga na kubaini yafuatayo;

1. Askari magereza kununua sare za jeshi lao kwa watu binafsi
2. Jeshi la magereza kushirikisha watu binafsi katika ujenzi, hali hii ilimchukiza Mh Rais.

Aidha kutokana na machukizo hayo ni dhahiri Mh Rais atatengua uteuzi wa Mkuu wa jeshi la Magereza nchini Kamishna Jenerali John Casmir Minja.
ahahaha kumbe hilo hatumbuliwi; nilifikiri alikutwa na wafungwa hewa
 
Wana JF,

Kutokana na safari ya kikazi alioifanya Mh Rais katika magereza jana Ukonga na kubaini yafuatayo;

1. Askari magereza kununua sare za jeshi lao kwa watu binafsi
2. Jeshi la magereza kushirikisha watu binafsi katika ujenzi, hali hii ilimchukiza Mh Rais.

Aidha kutokana na machukizo hayo ni dhahiri Mh Rais atatengua uteuzi wa Mkuu wa jeshi la Magereza nchini Kamishna Jenerali John Casmir Minja.

Hili la askari kununua sare kwa pesa binafsi linawezekana tu ikiwa uniform hazipatikani kwa wakati au mgao ni kidogo kuliko mahitaji bainafsi ya askari hivyo kulazimika kujinunulia. Ikiwa ziko store na zinapatikana kwanini askari akajinunulie? Pili hii kununua kwa wafanyabiashara binafsi nadhani si tatizo ila kinachotakikana ni vetting process ya hao suppliers. Majeshi yananunua vitu vingi kwa mahitaji yake toka watu binafsi si uniform peke yake. Na hii ni fursa kwa wafanyabiashara binafsi watanzania wanaoajiri watanzania wengine wa chini kwenye kutengeneza hizo nguo. La kushirikisha watu binafsi kwenye ujenzi hilo ni zito hasa nikikumbuka lile suala la Oysterbay police. Kwa lili nilidhani jilikuwa sahihi zaidi kushirikiana na taasisi nyingine za serikali kama mifuko ya pension na NHC.
 
Sio kwenye kitengo nyeti chenye magwanda kama hicho, huko akienda hubeba na akili yake ya ziada na hafanyi bila ushauri wa mkuu wa majeshi.

Umesikia kuna mtu katumbuliwa JWTZ kwa kipindi hiki cha mwaka mmoja. Au unataka kusema huko ni kusafi sana.

Kutumbua mtu maeneo hayo si rahisi hivyoooo kama unavyofikiria. Hata Makonda akienda huko ni kuwamwagia sifa tu.

Nchi inawenyewe hii.
Sio lazima vyote tujue mkuu, yapo yanafanyika ila sababu yanawahusu wenyewe, yana malizwa kwa wenyewe.

Nchi ina wenyewe, ila sio hawa.
 
Wana JF,

Kutokana na safari ya kikazi alioifanya Mh Rais katika magereza jana Ukonga na kubaini yafuatayo;

1. Askari magereza kununua sare za jeshi lao kwa watu binafsi
2. Jeshi la magereza kushirikisha watu binafsi katika ujenzi, hali hii ilimchukiza Mh Rais.

Aidha kutokana na machukizo hayo ni dhahiri Mh Rais atatengua uteuzi wa Mkuu wa jeshi la Magereza nchini Kamishna Jenerali John Casmir Minja.
hilo jina la babu yakeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom