Tetesi: Mkuu wa jeshi la Magereza nchini huenda akatumbuliwa

Tuwekee Hayo Majeshi Yanayonunua Sare
Yaliyouza Maeneo Kwa Watu Binafsi
 
Minja kosa lake ni nini? Je huo utaratibu aliuweka yeye au aliukuta? Huo utaratibu ni wa muda mrefu na isitoshe kuna kampuni nyingi tu zinafanya KAZI na majeshi yetu, achenni majungu na husda.
 
Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama siyo wa kutumbuliwa hivi hivi kama vibaraka wa CCM kwenye ngazi za Mkoa na Wilaya.

Nakuambia,hawezi Kutumbuliwa.

Waliotumbuliwa;

Kamishna Mkuu na Kamishna wa Fedha Jeshi la Uhamiaji

Kamishna wa Operation wa Jeshi la Polisi CP Chagonja

Kamishna wa Utawala na Fedha wa Polisi CP Mtweve

Mkurugenzi wa Upelelezi

Hii Mutu ya Chatto sio wa Mchezo mchezo kabisa!
 
Tenda hizo , na yeye aliukuta huu utaratibu . Makampuni yaliyokuwa yatapata tenda kilio kwao . Nimekumbuka uniform za wafanyakazi wa Air Tanzania zilikuwa zinashonwa nje ya nchi , wakati shirika lilikuwa na ndege moja tu . Ila kusema kweli watu walikula sana pesa ya umma .

Ndugu,

And this is exactly ambacho Magufuli anakipigia kelele kila siku ila watu wanalalamika eti uchumi umedorora. Uchumi upi huo?? Sasa kweli kama mtu aliyekuwa anapata tenda ya kushona sare za ATC Hong Kong.....leo hii si lazima alie?

It is really painful lakini at some point what Magufuli is doing was bound to happen. Si kwamba hiki kibano cha Magufuli wengine hakitufikii. We are all enduring this pain. Lakini what is the way forward?

Kuna walioona mbali. Tukaona hela ya umma ni haki ya elites! Mtu unaanzisha biashara ukiwa unalenga pesa ya umma (kupiga). Lazima biashara za namna hiyo zife kifo cha mende! maana leo unaambiwa lipa kodi (kitu ambacho hukutegemea kwa sababu shareholder wa kampuni alikuwa ni waziri Fulani)...leo unaambiwa mahesabu yakaguliwe na upeleke returns TRA....hukuwahi kuwaza hilo..I mean tumeishi kwa ujanja ujanja mno. Biashara nyingi Tanzania zilishamiri based on false assumptions. Very few and genuine business will survive in this period. And that will be the beginning of our journey.

Tuanze upya. Tujifunze kulipa kodi. Kuheshimu mali za umma. Ukipewa gari ya serikali kwa cheo chako. Uiogope kuipeleka kwenye harusi au kuibebea mkaa simply because you had a trip mkoani. Ukipewa madaraka siyo passport ya kujitajirisha. Ukipewa dhamana ya kufanya manunuzi..unataka 50% ya pesa iingie mfukoni mwako. How can we move on like this? Pathetic!

Success starts with discipline. Tuanzie hapo.
 
Ndugu,

And this is exactly ambacho Magufuli anakipigia kelele kila siku ila watu wanalalamika eti uchumi umedorora. Uchumi upi huo?? Sasa kweli kama mtu aliyekuwa anapata tenda ya kushona sare za ATC Hong Kong.....leo hii si lazima alie?

It is really painful lakini at some point what Magufuli is doing was bound to happen. Si kwamba hiki kibano cha Magufuli wengine hakitufikii. We are all enduring this pain. Lakini what is the way forward?

Kuna walioona mbali. Tukaona hela ya umma ni haki ya elites! Mtu unaanzisha biashara ukiwa unalenga pesa ya umma (kupiga). Lazima biashara za namna hiyo zife kifo cha mende! maana leo unaambiwa lipa kodi (kitu ambacho hukutegemea kwa sababu shareholder wa kampuni alikuwa ni waziri Fulani)...leo unaambiwa mahesabu yakaguliwe na upeleke returns TRA....hukuwahi kuwaza hilo..I mean tumeishi kwa ujanja ujanja mno. Biashara nyingi Tanzania zilishamiri based on false assumptions. Very few and genuine business will survive in this period. And that will be the beginning of our journey.

Tuanze upya. Tujifunze kulipa kodi. Kuheshimu mali za umma. Ukipewa gari ya serikali kwa cheo chako. Uiogope kuipeleka kwenye harusi au kuibebea mkaa simply because you had a trip mkoani. Ukipewa madaraka siyo passport ya kujitajirisha. Ukipewa dhamana ya kufanya manunuzi..unataka 50% ya pesa iingie mfukoni mwako. How can we move on like this? Pathetic!

Success starts with discipline. Tuanzie hapo.
Na vilevile zikichangwa pesa za wahanga wa matetemeko zipeleke zinakohusika, usizitumie unavyotaka wewe. Pia unaponunua mali ya umma, kama kivuko cha Bi-Moyo usiende kununua scraper ambayo mwisho wa siku utaipaki. La mwisho usiuze nyumba za serikali kwa matakwa yako mwenyewe, kuuzia ndugu zako.

Huu ni utaratibu mbovu uliozoeleka miaka yote, na matamko ya hadharani kamwe hayataweza kuyamaliza.
 
Back
Top Bottom