Hii ni hatua kubwa kwa jeshi letu la magereza...Hongera kwao.
---
NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Ummy Nderiananga leo Novemba 27, 2023 amezindua Kliniki ya Waraibu wa Dawa za Kulevya Kihonda (Kihonda Methadone Clinic) kinachomilikiwa na Jeshi la Magereza Mkoani Morogoro.
Katika halfla hiyo Viongozi mbalimbali wameshiriki akiwemo Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Nchini, Mzee Ramadhani Nyamka.
---
NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Ummy Nderiananga leo Novemba 27, 2023 amezindua Kliniki ya Waraibu wa Dawa za Kulevya Kihonda (Kihonda Methadone Clinic) kinachomilikiwa na Jeshi la Magereza Mkoani Morogoro.
Katika halfla hiyo Viongozi mbalimbali wameshiriki akiwemo Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Nchini, Mzee Ramadhani Nyamka.