BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,377
- 8,121
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua SACP Mzee Ramadhan Nyamka kuwa Mkuu wa Jeshi la Magereza
SACP anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Meja Jenerali Suleiman Mungiya ambaye aliteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara
Kabla ya uteuzi huo SACP Ramadhan alikuwa Kaimu Mkuu wa Jeshi hilo, na uteuzi wake umeanza Agosti 24,2022.
SACP anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Meja Jenerali Suleiman Mungiya ambaye aliteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara
Kabla ya uteuzi huo SACP Ramadhan alikuwa Kaimu Mkuu wa Jeshi hilo, na uteuzi wake umeanza Agosti 24,2022.