chuo cha ualimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mkuu wa Chuo cha Ualimu Mpwapwa afariki ajalini

    Mkuu wa Chuo cha Ualimu Mpwapwa Ndugu Richard Gerald Melkiori amefariki kwa ajali mbaya ya gari wilayani CHAMWINO. Bwana alitoka, Bwana ametwaa. Jina la Bwana lihimidiwe.
  2. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Rais Samia atoa Bilioni 4 kwa ajili ya ujenzi wa Chuo cha Ualimu Sumbawanga

    Rais wa awamu ya sita Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amenyamazisha simulizi za kukata tamaa zilizotolewa na Vijana wengi waliokosa fursa ya kujiendeleza kimasomo, kutokana na ukosefu wa Vyuo vya kutosha katika Mkoa wa Rukwa na Mikoa jirani. Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa kiasi cha...
Back
Top Bottom