Hapa nimefika na hapa na hapa,hapaaaaaaaaView attachment 32673
Changamoto kubwa inayotukabili TZ ktk uongozi wa juu ni kuwapa watu madaraka ili kukamilisaha ndoto zao na pia for convience...mfano Rais wa ZNZ hakutaka kuwa President wa lakini ili kuua genuine concern za watu ZNZ basi akaombwa akubali...think of it kwa mtu kama huyo itakuwaje ktk utendaji wake..hakuwa na vision in the first place. JK wanted to be a president and he was open about it..yeah and there he is enjoying them presidential benefits.The good/bad thing about sisi watz ni kusahau haraka... JK alikuwa na midahalo ya nini anataka kuifanyia nchi hii? unasema ule wa Anatogulo? Mbali ya manifesto ya chama yeye as JK hakuwahi kuonyesha what are the issue na anakusudia kufanya nini?Hapa nimefika na hapa na hapa,hapaaaaaaaaView attachment 32673
Otea! hivi Balozi wa Marekani na hao wengine wanamfikiriaje? watakuwa wanawaza nini vichwani mwao?