Manumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 1,746
- 1,282
1st phase alichaguliwa na watz ambao walidhihaika wakidhani angekuwa a better president. wakagundua ni kaa la macho. wakamkataa kwenye second phase. lakini wakakosea kuwa mfumo uliopo hauruhusu kushindwa kwa sitting president. hivyo kwa mamlaka yake ya kidola amerudi. kwa sasa sio chaguo la watz na yeye anajua kuwa hawatumikii watz manake hawakumtaka. waliomweka pale anawahudumia vizuri na wala hawasikitiki kwake kuwa raisi wao