Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,603
- Thread starter
- #41
Shukran mkuu Pasco kwa jibu.
Swali lengine: Je. does Zanzibar want to increase its minority stake to equal partnership?
Zanzibar inataka hata leo kumaitain its outonomy, bahati mbaya huu muungano wetu ni kama ndoa za Katoliki, hazina talaka!.
Origional mambo ya muungano ni 11, tumeyaongeza kwa maujanja ujanja mpaka yamefika 27!. Mambo hayo yanaongezekeka tuu lakini hayapunguziki, hivyo hata hizi juhudi za Zanzibar kutaka kuyaondosha mafuta kwenye mambo ya muungano, its fighting a loosing battle na wataendelea kulia lia sana tuu.