Mkutano wa REDET: Zanzibar Tuitakayo, Ujenzi wa Uvumilivu wa Kisiasa Zanzibar

Jukumu la kujenga Zanzibar mpya na Zanzibar tuitakayo ni la Wazanzibar wenyewe na Watanzania wote.

Nadhani hilo jekundu ndio limekuwa mwiba wa mchongoma ndani ya Zenj.
1. Japo rais ni wa zenj, lazima achaguliwe na bara
2. Wazenj wasipompigia kura rais aliyependekezwa na bara, wabara wanasimika madarakani (rejea 1).
**Katika hili, jukumu la kuijenga Zenj ni la wazenj wenyewe, period
 
I hope they didn't use any money for this meeting!
Mzee Mwanakijiji, you must be jocking!. Demokrasia ni expensive exericise!.
Kama ulifuatilia ule mkutano wa kwanza pale Nkurumah, nilisema baada ya mkutano, kila alijisajili, alikunjiwa little brown envelope, kama kawaida yetu wabongo, nami si nikajisogeza ili nikunje, jamaa wakaniambia sorry jina lako halipo.

Niliposoma magazetini this time ni Zanzibar, nikaamua kabla sijaenda ngoja nifanye kajiutafiti ka bahasha ni nene kiasi gani, ndipo wakanijibu, wanawalipia usafiri, chakula na malazi ila wale tuu waliowaalika, akinasiye wanachi tuliojialika, tukaambiwa tumekaribishwa tuu ila tujitegemee.

Alhamdidulahi, staftahi tulipata sote bure pale Bwawani, ila lunch, sio siri nilijituliza nikipiga miayo huku nipost JF, waalikwa wakiitwa chumba cha pili, foleni ndefu ya the little brown envelope, tena kwa macho yangu, kibahasha cha Zanzibar kilikuwa kinene, maana kimetunatuna.

Yote tisa, usiwe na wasiwasi, sio fedha za walipakodi wetu, ni fedha za Wafadhili, hivyo ni za walipakodi wa Ulaya, na sio USAID maana ningeihesabu na kodi yako, ni watu baki kabisa!.
 
Yote tisa, usiwe na wasiwasi, sio fedha za walipakodi wetu, ni fedha za Wafadhili, hivyo ni za walipakodi wa Ulaya, na sio USAID maana ningeihesabu na kodi yako, ni watu baki kabisa!.
Still, fedha ambazo zingeweza kusaidia maendeleo elsewhere
 
Still, fedha ambazo zingeweza kusaidia maendeleo elsewhere

Mpita Njia, Mzungu anachangia 40% ya bajeti ya kuendesha serikali yako. Ametoa 80% ya kuendesha uchaaguzi wetu. Anagharimia vikao vya muafaka. Its more axpensive kutoa pesa kugharimia utulivu baada ya kutokea machafuko. Its cheaper kulipia mikutano ya kuzua machafuko kwa kuhamasisha uchaguzi huru na wa haki kuliko kuja kumbeleza watakaolia lia wamepokwa tonge mdomoni.

After all its their money, they can spend it in whataver way they see fit. they
 
Nadhani hilo jekundu ndio limekuwa mwiba wa mchongoma ndani ya Zenj.
1. Japo rais ni wa zenj, lazima achaguliwe na bara
2. Wazenj wasipompigia kura rais aliyependekezwa na bara, wabara wanasimika madarakani (rejea 1).
**Katika hili, jukumu la kuijenga Zenj ni la wazenj wenyewe, period
Kweli jukumu la kuijenga Zenj ni la Wazenj wenyewe laking Zenj kama sehemu ya JMT, Bara tuna jukumu la kuhakikisha kiongozi za Zenj lazima awe ni kibaraka wa bara ili kuulinda muungano kwa gharama yoyote. Hata kama Maalim Seif wamekubaliana na Karume wapeane zamu, bara ndiye determinant mwenye final say who is next ZnZ presidaa. Redet are damm right!.
 
Mkutano unashauri[FONT=Arial, sans-serif] kutafakari sababu za kutotekelezeka kwa muafaka wa I (1999); muafaka wa II (2001) na mazungumzo ya muafaka wa III yaliyovunjika mwaka 2008. -[/FONT][FONT=Arial, sans-serif]Mchakato wa [/FONT][FONT=Arial, sans-serif]sasa wa maridhiano uawashirikisha wananchi wote. Kwa vile sababu bado hazijatolewa, na hayo maridhiano hayajawashirikisha wote, waonao ona mbali, wameona, tusubiri matokeo ya hatma ya Zanzibar iliyomo mikononi mwa Rais Karume na Maalim Seif.[/FONT]
 
Back
Top Bottom