Kule Sumbawanga jimbo liko wazi mtasikia mziki wake- Heche!!
Mbowe; Pipooooooooooooooooooooz!!
Arusha nawaamini, nataka tupige pipoz pawa mpaka wale tumewakaribisha wajue wameingia katika moto wa gesi!!
Ndg zangu, CDM leo ni chama kinachojiandaa kuchuku Serikali kwa hiyo kila dk kila sekunde ni lazima tuzungumze mambo ya busara!! Nimekuja leo kzungumza mambo machache ya msingi
Umoja wetu kama Taifa, tunapenda makabila yote, dini zote, na watu wa kila aina, vijana wana moto wa gesi lakini inatokana na maudhi ya CCM, Kauli ya Dogo janja ilikuwa kauli ya hamasa..
Tanzania ni moja na tutapigana tukomboe nchi yote na sio nusu ya nchi
Tumekuja kuwapokea wenzetu walio toka CCM, ujio wa hawa watu una nia njema!!