Mkutano wa CHADEMA viwanja vya NMC Arusha

Mkutano wa CHADEMA viwanja vya NMC Arusha

sikiliza arusha mambo laiv hapa...na enjoy sana...

ahsante sana mtoa link....

haalafu bando haikati sana wadau,msisite kabisa kusikiliza wakuu.....
 
'Operesheni vua gamaba vaa gwanda' Nanyaro!!

Mwenyekiti wa wilaya ya Monduli anatoa salamu!!

Mimi naamini CCM pamoja na Lowassa mahali walipo wamesikia salamu hii!!

Nashukuru kuona wamasai zaidi ya 200 wanakuja kurudisha kadi!- M/ Kiti wa Monduli!
 
mwenyekiti wa monduli ccm katupa salamu kidogo jukwaani namna amekuja kuvaa gwanda amekuja na wamasai 200 waliokuja kuvua gamba na kuvaa gwanda
 
Jamani Arachuga vp? Wengine tumeshindwa kuipata arusha mambo. Jaman updates.
 
Kila siku Arusha tu Makamanda jaribuni kujitanua kitaifa zaidi kuliko kikanda.

Lini tutasikia Chadema wameweka kambi maeneo mengine kama.

Kilwa.
liwale.
Ruangwa.
Nachingwea.
Newala.
Nanyumbu.
Tandahimba.
Ngara.
Karagwe.
Muleba.
Kyerwa.
Ajenda inafahamika kuwa nia na makusudi ni kupata Raisi ambae anatoka Mikoa hii miwili Arusha ama Kilimanjaro sasa M4C waende Karagwe wakatafute nini? Nyinyi wengine mnatumika tu na ndiyo maana hapo kwenye base yao hawatoki wanafanyakila wawezalo na ni kila wakipata nafasi na pia wanafahamu kabisa kuwa sehemu nyingine ni ngome ya Chama Tawala hata wafanyaje hawatakubalika kamwe!
 
Moto unawaka umeanza longido,utenda ngorongoro,somanjiro, kiteto tutamalizia monduli,. Katibu wa cdm arusha
 
Watu wa Sumbawanga pia wanahitaji M4C, Kila siku Arusha tu S'mbawanga lini nyie wakina Lema,mnyika,Zitto,Mbowe,Dr.slaa na chadema yote kwa ujumla jitahidi basi mfike na huku du!
 
'Operesheni vua gamaba vaa gwanda' Nanyaro!!

Mwenyekiti wa wilaya ya Monduli anatoa salamu!!

Mimi naamini CCM pamoja na Lowassa mahali walipo wamesikia salamu hii!!

Nashukuru kuona wamasai zaidi ya 200 wanakuja kurudisha kadi!- M/ Kiti wa Monduli!

Safi saaaaaana,BADO WAGOGO DODOMA,Wanadanganywa mkoa wa makao makuu.ILA OMBAMBA WOTE NCHI NZIMA WATOKA KWAO.MKOA HAUNA KIWANDA HATA CHA NEPI.
 
Mbeya mjini, iringa mjini, lizaboni songea, sumbawanga, kigoma, mwanza, mara, biharamulo, ifakara mbozi,maswa, singida mashariki, ubungo, kawe, ma maeneo mengine lukuki kwa akili zako za kigamba yako Kilimanjaro/ Arusha na ni ngome ya CCM EH!

Wacha uchizi wa mchana....subiri giza.

Ajenda inafahamika kuwa nia na makusudi ni kupata Raisi ambae anatoka Mikoa hii miwili Arusha ama Kilimanjaro sasa M4C waende Karagwe wakatafute nini? Nyinyi wengine mnatumika tu na ndiyo maana hapo kwenye base yao hawatoki wanafanyakila wawezalo na ni kila wakipata nafasi na pia wanafahamu kabisa kuwa sehemu nyingine ni ngome ya Chama Tawala hata wafanyaje hawatakubalika kamwe!
 
Lema anaongea!

kaanza kwa kumkosoa MC kuwa yeye si 'rafiki yetu' bali ni Mbunge wa Arusha Mjini!

watu weweeeee..!

Dogo Janja Joshua Nassari ghafla jukwaani ...!
 
Back
Top Bottom