LEMA; Hii ni operesheni maalumu baada ya mimi kupewa honey moon!!
Wenyeviti wa vijiji wanakuja sababu wanaona sio dili, kwanza kabisa mnajua M4C ilizaliwa Arusha na ikatupa mbunge Nassari, wale mnaochelewa itafika siku itakuwa dili kuja CDM so wahini..
Wakati wamenipa hnymoon tulifunga na sasa mlipuko umetokea na leo m/kiti taifa yuko hapa kupokea wanachama, kiufupi CCM lazima ife, na hata leo kuna diwani alikuwa atoke ila tumemstukia na tumempiga stop kwanza!!
Leo kazi ya mkutano huu ni kuonesha dunia kwamba tunaenda kuchukua nchi, nimepata taarifa sasa hivi kuwa wanataka kuhamisha wamachinga mimi mwenyewe machinga na sitoki na ninyi msitoke hii ni salamu kwa M/ Mkoa na halmashauri...
Hakuna kulala, hakuna kuonewa, mpaka kieleweke...
Rufaa imeshafika mahakamani, utukufu wa sasa utakuwa zaidi ya ule wa mwanzo!!